Kumekucha: Mawakili wa Mbowe waweka pingamizi kesi ya Ugaidi

Hakuna Kesi hapo ni kufunika upuuzi wa walkia JUMONG tu , mtu hana substance haonekani kama nchi anaiongoza yeye, kiukweli tumepigwa pale tena pakubwa sana, Rais Hajawahi kutoa statement ya maana hata moja , maagizo anatoa watu hawafuati na bado anajichekesha tu eti MImi Rais ila Umbo la Kike , THubutuuuuuuu Sirro anakuangalia tu na timu yake na wala huna la kumfanya, tatizo aliambiwa tangu mwanzo ondoa takataka zooote za Mwendazake weka watunwako wanaokutii, hakusikia ndio madhara yake haya , apambane na hali yake
 
Mawakili wa Gaidi tayari wameona ngoma nzito hivyo wameanza kukata tamaa mapema, nia yao aibu za mbowe zisiwekwe hadharani hivyo wanatamani afutiwe tu kesi, isisikilizwe.
 
Mawakili wa Gaidi tayari wameona ngoma nzito hivyo wameanza kukata tamaa mapema, nia yao aibu za mbowe zisiwekwe hadharani hivyo wanatamani afutiwe tu kesi, isisikilizwe.
una umri gani ?
 
Unajiaibisha sana. Wapi duniani ulishasikia ugaidi unasemwa ni wa thamani fulani?. Ugaidi unaelezwa kwa madhara yake na siyo thamani yake. Shame on you
 
Erythrocyte ,

..Ni kweli inachanganya Mbowe kushtakiwa kwa tuhuma za ugaidi ktk mahakama ya uhujumu uchumi.

..unadhani kwanini mawakili wa serikali wamefanya hivyo?

..Pia nini faida ya mawakili wa Mbowe kuweka pingamizi?

..Mimi nilidhani wangeiacha mahakama na mawakili wa serikali wachafuke kwa kuendesha kesi ktk mahakama isiyo na mamlaka ya kuendesha kesi husika.

Cc Petro E. Mselewa
 
Unajiaibisha sana. Wapi duniani ulichasikia ugaidi unasemwa ni wa thamani fulani?. Ugaidi unaelezwa kwa madhara yake na siyo thamani yake. Shame on you
Labda kama unamtukana Sirro aliyeleta hicho kiwango
 
Erythrocyte ,

..Ni kweli inachanganya Mbowe kushtakiwa kwa tuhuma za ugaidi ktk mahakama ya uhujumu uchumi...
Mawakili wa serikali wao ni Mbumbumbu siku zote , Lissu kishasema haya miaka na miaka , kuhusu akina Kibatala kuweka pingamizi hilo , hii ni muhimu sana, kwa vile ikiwa tunataka haki basi ni vema mchakato wa kuipata haki yenyewe upite kwenye njia sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…