Matendo tu ya wafuasi wa Mbowe ni ushahidi tosha kuwa jamaa alikuwa anwafundisha uovu na ujambazi dhidi ya Serikali.
Fanya utafiti mdogo tu kwa wale wote wanao Mshabikia Mbowe utabaini kuwa; wengi wao ni watu wana matendo maovu sana,
wengi wao ni watu wanao shabikia ama kuhamasisha uvunjifu wa amani.
wengi wao wamekaa kishari shari,ugomvi,ubishi na kutoa lugha za matusi. wamekaa kikatili katili, wapenda vurugu, wanao penda kushabikia mambo ya kikatili kama vile matukio ya mauaji, mfano hivi karibuni ktk tukio la mauaji ya Askari wafuasi wa Mbowe walifurahiansana.n.k.
Huyu jamaa ni Gaidi aliye jificha kwenye chama cha siasa hivyo ni lazima ashughulikiwe na sheria bila huruma. Eti! wanahamasisha mabalozi waje kwa wingi Mahalamani ili kuwatisha Majaji waogope!! maarifa madogo kweli, yaani wanatapa tapa tu.