Ishu ya bandari imekufa natural death!
Ina maana hapo kwenye bango la wito wewe bandari huioni kuwa imo?
Kwamba haya:
"#255 #OkoaBandariZetu #KatibaMpya"
Ni picha?
Punguza mihemuko ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ya bandari imekufa natural death!
Kwahiyo kuswekwa jela ndiyo uzalendo?Niambie ni kada yupi wa ccm aliyeswekwa jela kwa Tuhuma za Ugaidi
Una uelewa duni sana !Kwahiyo kuswekwa jela ndiyo uzalendo?
Ila upinzani wa bongo😅
Kweli kabisa, Ila nawazidi wafuasi wa Mbowe.Una uelewa duni sana !
Nimekwambia mambo ya Dp world samia kashanyoosha mkono juu...Ina maana hapo kwenye bango la wito wewe bandari huioni kuwa imo?
View attachment 2787371
Kwamba haya:
"#255 #OkoaBandariZetu #KatibaMpya"
Ni picha?
Punguza mihemuko ndugu.
Nimekwambia mambo ya Dp world samia kashanyoosha mkono juu...
Hoja dhaifu kutoka kwa mtu duniDj mlamba asali.
Bora twende na hii tu. Huko Lupaso ni headache tuKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile Kampeni kabambe ya kuelimisha wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya, ambayo imeongezwa kipengele cha kuokoa Bandari za Tanganyika, Imeingia rasmi kwenye Kanda ngumu ya Nyasa.
Taarifa kutoka Makao Makuu ya CHADEMA na kwenye ofisi za Kanda hiyo zinaeleza kwamba, kutokuwa na Jopo la Wahadhiri 15 wa Vyuo vikuu ambao watafanya kazi ya kuwaelimisha Wananchi kuhusu Ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP World.
Maandalizi yote yamekamilika.
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitakuwepo kuwaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2787219
HahaaaHoja dhaifu kutoka kwa mtu duni
Dpw wamekutana na kisiki cha TecIshu ya bandari imekufa natural death!
HahahaaaTukio la kupigwa risasi Tundu lissu, limeacha laana kubwa nchi hii,. ...moja Kiongozi Mkubwa kufariki akiwa madarakani, mbili nchi kuongozwa na Rais asiyechaguliwa na wananchi, tatu waTanzania kuongozwa na wabunge waliopitishwa Kwamabavu na mtu mmoja...my take...mwenye uwezo wa kuiponya nchi hii kwa Sasa ni Tundu Antipas Lissu, Wengine watatuunguza Zaid.
Ila Damu ya Lissu haikumwagika bure.....wait and seeTukio la kupigwa risasi Tundu lissu, limeacha laana kubwa nchi hii,. ...moja Kiongozi Mkubwa kufariki akiwa madarakani, mbili nchi kuongozwa na Rais asiyechaguliwa na wananchi, tatu waTanzania kuongozwa na wabunge waliopitishwa Kwamabavu na mtu mmoja...my take...mwenye uwezo wa kuiponya nchi hii kwa Sasa ni Tundu Antipas Lissu, Wengine watatuunguza Zaid.
MwwaammbbambamwaKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile Kampeni kabambe ya kuelimisha wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya, ambayo imeongezwa kipengele cha kuokoa Bandari za Tanganyika, Imeingia rasmi kwenye Kanda ngumu ya Nyasa.
Taarifa kutoka Makao Makuu ya CHADEMA na kwenye ofisi za Kanda hiyo zinaeleza kwamba, kutokuwa na Jopo la Wahadhiri 15 wa Vyuo vikuu ambao watafanya kazi ya kuwaelimisha Wananchi kuhusu Ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP World.
Maandalizi yote yamekamilika.
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitakuwepo kuwaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2787219
Bila Tundu Lisu ni sawa na kufuja tu Ruzuku!!Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile Kampeni kabambe ya kuelimisha wananchi kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya, ambayo imeongezwa kipengele cha kuokoa Bandari za Tanganyika, Imeingia rasmi kwenye Kanda ngumu ya Nyasa.
Taarifa kutoka Makao Makuu ya CHADEMA na kwenye ofisi za Kanda hiyo zinaeleza kwamba, kutokuwa na Jopo la Wahadhiri 15 wa Vyuo vikuu ambao watafanya kazi ya kuwaelimisha Wananchi kuhusu Ubovu wa Mkataba wa Bandari na DP World.
Maandalizi yote yamekamilika.
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitakuwepo kuwaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF.
View attachment 2787219
Naunga mkonoMw
Bila Tundu Lisu ni sawa na kufuja tu Ruzuku!!
Tulishawaambieni humu kwamba Lissu anakuja moja kwa moja na ndege maalumMw
Bila Tundu Lisu ni sawa na kufuja tu Ruzuku!!
Nape. Kibajaj. Silaa. Masue.Makada wepi? Mbowe imemtaja kwa Jina na hao Makada wataje vinginevyo unaleta umbea tu, kumchafua mwenyekiti