Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
KUMEKUCHA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehee hapana hiko chama kina majembe mengi tu. Na yanapiga kazi bila uweopo wa Tundu.Mw
Bila Tundu Lisu ni sawa na kufuja tu Ruzuku!!
Si ndio ingekuwa vizuri kwenu ccm kama dj kalamba asali?Chadema imepoteza uhalali wa siasa za upinzani baada ya dj kulamba asali na kitendo cha kuwakumbatia kovidi 19 kisa ruzuku.
Naunga mkono
Sijui umeishia darasa la ngapi , lakini Ruzuku za vyama vya siasa hazitokani na Wabunge wa Viti MaalumChadema imepoteza uhalali wa siasa za upinzani baada ya dj kulamba asali na kitendo cha kuwakumbatia kovidi 19 kisa ruzuku.
Sijui umeishia darasa la ngapi , lakini Ruzuku za vyama vya siasa hazitokani na Wabunge wa Viti Maalum
Huna hoja , hela ahongwe Halima Mdee usingizie Chadema !Suala la kovid 19 mmeamua kulikalia kimya kwasababu wana maslah ndani chama