Kumekucha sakata la Prince Dube na Azam

Kumekucha sakata la Prince Dube na Azam

political monger senior

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
1,827
Reaction score
5,994
[emoji599]| PRINCE DUBE UPDATES

[emoji617] Mazungumzo kati ya Azam na Striker wao, Prince Dube yanaendelea ambapo Azam wanahitaji kiasi cha USD 300,000 sawa na Tsh 765M ili kumuachia mchezaji huyo huku Prince Dube akiwa tayari kulipa kiasi cha USD 230,000 sawa na Tsh 586M ili aweze kuondoka kwa Matajiri wa Chamazi.

[emoji617] Kilichotokea ni Azam kukataa kiasi cha USD 230,000 ambacho Prince Dube alihitaji kulipa na Prince Dube hahitaji kurudi kambi ya Azam kwakuwa anataka kuondoka klabuni hapo, Azam wanasisitiza kuwa bila USD 300,000 hatamuachia Prince Dube.

[emoji617] Mazungumzo kati ya Azam na Prince Dube yamefikia hatua hiyo na Prince Dube atarudi tena mezani na Azam siku mbili zijazo ili kukamilisha taratibu zote zilizopo za kimkataba ili aondoke Azam.

1709703486235.jpg

===

Pia soma:

- Rasmi: Prince Dube aachana salama na Azam FC

- Prince Dube kila kitu Azam FC
 
Kitu walicho kosea Azam ni kutangaza kiasi Cha pesa, Hakuna pesa utakayo tajwa watu wakashindwa kulipia.
Kama kweli wanahitaji kiasi icho, wiki haitamalizika iyofedha watapewa.

Wakati wa sakata la Feisali, tulionya mamlaka (TFF) mchezo huu wanao Fanya Azam utakuja kuleta shida kubwa uko tunako elekea Tena katikati ya msimu, ndio hiki kinacho tokea.

Kama walivyo umia Yanga kwa kumuachia Feisal wakiwa wanamuhitaji katika mashindano Magumu na wakatoboa.

Na wengine watapitia njia iyoiyo mpaka Tff watakapo kuja na Suluhisho la kudumu.
 
Kitu walicho kosea Azam ni kutangaza kiasi Cha pesa, Hakuna pesa utakayo tajwa watu wakashindwa kulipia.
Kama kweli wanahitaji kiasi icho, wiki haitamalizika iyofedha watapewa.

Wakati wa sakata la Feisali, tulionya mamlaka (TFF) mchezo huu wanao Fanya Azam utakuja kuleta shida kubwa uko tunako elekea Tena katikati ya msimu, ndio hiki kinacho tokea.

Kama walivyo umia Yanga kwa kumuachia Feisal wakiwa wanamuhitaji katika mashindano Magumu na wakatoboa.

Na wengine watapitia njia iyoiyo mpaka Tff watakapo kuja na Suluhisho la kudumu.
Release clause ipo duniani koote, shida ya yaga kwenye mkataba walibugi kidogo, wakaweka milioni 100 plus na mishahara ya miezi mi3, ila wangeweka bilioni wangepata zaidi, raisi ndio alizingua zaidi kusema wamalizane kiubinadamu. Kwenye biashara hakuna hiyo.
Cesc fabregas anaondoka arsenal pesa ya barca ni ndogo yeye binafsi anaongezea, wachezaji kibao wameshafanya hivyo, hata neymar kama sikosei.
 
Kitu walicho kosea Azam ni kutangaza kiasi Cha pesa, Hakuna pesa utakayo tajwa watu wakashindwa kulipia.
Kama kweli wanahitaji kiasi icho, wiki haitamalizika iyofedha watapewa.

Wakati wa sakata la Feisali, tulionya mamlaka (TFF) mchezo huu wanao Fanya Azam utakuja kuleta shida kubwa uko tunako elekea Tena katikati ya msimu, ndio hiki kinacho tokea.

Kama walivyo umia Yanga kwa kumuachia Feisal wakiwa wanamuhitaji katika mashindano Magumu na wakatoboa.

Na wengine watapitia njia iyoiyo mpaka Tff watakapo kuja na Suluhisho la kudumu.
Na kitu kizuri zaidi huu ni mwanzo Tu...
Nina habari za uhakika Kipre nae atafanya hivi ni swala la Muda Tu ngoja Hili la Dube liishe linakuja kubwa zaidi.. [emoji16]
 
[emoji599]| PRINCE DUBE UPDATES

[emoji617] Mazungumzo kati ya Azam na Striker wao, Prince Dube yanaendelea ambapo Azam wanahitaji kiasi cha USD 300,000 sawa na Tsh 765M ili kumuachia mchezaji huyo huku Prince Dube akiwa tayari kulipa kiasi cha USD 230,000 sawa na Tsh 586M ili aweze kuondoka kwa Matajiri wa Chamazi.

[emoji617] Kilichotokea ni Azam kukataa kiasi cha USD 230,000 ambacho Prince Dube alihitaji kulipa na Prince Dube hahitaji kurudi kambi ya Azam kwakuwa anataka kuondoka klabuni hapo, Azam wanasisitiza kuwa bila USD 300,000 hatamuachia Prince Dube.

[emoji617] Mazungumzo kati ya Azam na Prince Dube yamefikia hatua hiyo na Prince Dube atarudi tena mezani na Azam siku mbili zijazo ili kukamilisha taratibu zote zilizopo za kimkataba ili aondoke Azam.

View attachment 2925745
Hajawahi maliza msimu bila pancha huyu
 
Sidhani kama alizoweka mezani ni zake!
Kwani Fei alizoweka kwenye akaunti ya Yanga zilikuwa zake????!!!! Azam walimshawishi Fei aondoke Yanga. Walimshawishi kinyume cha taratibu za FIFA kwani alikuwa bado na mkataba na Yanga. Hakuna chombo cha habari kilichoenda zaidi ya hapo kwa kile kilichoonekana kuwa ni kuhongwa wasilizungumzie hilo.
 
Azam na Yanga wenyewe walikuwa wanajifanya wamoja sasa kilo wapi
 
Back
Top Bottom