Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Basi sawa haina shida hii ndo Tanzania na tifua tifua yetu...Fungu tayari wameshaweka mezani..watu wapo serious sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa haina shida hii ndo Tanzania na tifua tifua yetu...Fungu tayari wameshaweka mezani..watu wapo serious sana
Azam na Yanga tangu lini wakawa wamoja? Simba na Azam ndio dugu Moja.Azam na Yanga wenyewe walikuwa wanajifanya wamoja sasa kilo wapi
Litaonekana kosa iwapo tu kama hukuwa na lengo la kutaka mchezaji aondoke.Kitu walicho kosea Azam ni kutangaza kiasi Cha pesa, Hakuna pesa utakayo tajwa watu wakashindwa kulipia.
Kama kweli wanahitaji kiasi icho, wiki haitamalizika iyofedha watapewa.
Wakati wa sakata la Feisali, tulionya mamlaka (TFF) mchezo huu wanao Fanya Azam utakuja kuleta shida kubwa uko tunako elekea Tena katikati ya msimu, ndio hiki kinacho tokea.
Kama walivyo umia Yanga kwa kumuachia Feisal wakiwa wanamuhitaji katika mashindano Magumu na wakatoboa.
Na wengine watapitia njia iyoiyo mpaka Tff watakapo kuja na Suluhisho la kudumu.
Dube ni mchezaji mjanja mjanja Sana. Usiamini majeraha yake. Mara nyingi huwa "anajivunja".Hajawahi maliza msimu bila pancha huyu
Upi huo?Huu sio utaratibu wa mpira
Wamoja Kwenye nini?Azam na Yanga wenyewe walikuwa wanajifanya wamoja sasa kilo wapi
Katikati ya msimu mchezaji anaibuka kuvunja mkataba alikua wapi kipindi cha dirisha dogo au kuna ugumu gani akisubiri msimu uishe?Upi huo?
Mbona hakuna shida? Dube ameonyesha nia, Azam wakataja kiwango, Dube akataja alicho nacho, Azam wakasisitiza kilichopo kwenye mkataba, Dube akaahidi kurudi tena kwa mazungumzo. Mimi naona mambo yanakwenda shwari kabisa, ni tofauti na lile sakata la Feisal ambapo klabu ilikuwa haitaki kiwango ilichoandika yenyewe kwenye mkatabaWakati wa sakata la Feisali, tulionya mamlaka (TFF) mchezo huu wanao Fanya Azam utakuja kuleta shida kubwa uko tunako elekea Tena katikati ya msimu, ndio hiki kinacho tokea.
Kwani wakati wa dirisha dogo ndio asingeambiwa atoe hiyo 700M?Katikati ya msimu mchezaji anaibuka kuvunja mkataba alikua wapi kipindi cha dirisha dogo au kuna ugumu gani akisubiri msimu uishe?
Wapi nmeongea habari za pesa mbona una kurupuka?Kwani wakati wa dirisha dogo ndio asingeambiwa atoe hiyo 700M?
Hapo suluhu ilikuwa ni kusubiri mkataba wake uishe ndio angeweza kuepuka hicho kikombe cha kulipishwa hiyo mihela
Labda akili imembadilika, muhimu alipe hiyo pesa awe huru, kisheria anaruhusiwa hivyo, sababu mkataba umesema hivyoKatikati ya msimu mchezaji anaibuka kuvunja mkataba alikua wapi kipindi cha dirisha dogo au kuna ugumu gani akisubiri msimu uishe?
Kipre atimke tu hastahili kuwa kwenye timu isiyo na amsha amshaNa kitu kizuri zaidi huu ni mwanzo Tu...
Nina habari za uhakika Kipre nae atafanya hivi ni swala la Muda Tu ngoja Hili la Dube liishe linakuja kubwa zaidi.. [emoji16]
Muda wowote mtu anaweza kuvunja mkataba bila kujalisha katikati ya msimu au mwisho wa msimu.Wapi nmeongea habari za pesa mbona una kurupuka?
Ipo siku wachezaji first 11 watataka kuvunja mikataba yao kwa kuwa release clause inaruhusu huku timu ikizuiwa kusajili wachezaji wapya hadi dirisha dogo au msimu ukiisha.Labda akili imembadilika, muhimu alipe hiyo pesa awe huru, kisheria anaruhusiwa hivyo, sababu mkataba umesema hivyo
Kinachoenda kutokea saizi ni mikataba yenye release clause za kihispania 😂 mchezaji wa kawaida tu ila release clause ni 5BIpo siku wachezaji first 11 watataka kuvunja mikataba yao kwa kuwa release clause inaruhusu huku timu ikizuiwa kusajili wachezaji wapya hadi dirisha dogo au msimu ukiisha.
Timu ipo kwenye mashindano anaibuka mchezaji anataka kuvunja mkataba replacement ya huyo mchezaji itafanyika vipi mbona mambo mengine ni ya kutumia akili tuMuda wowote mtu anaweza kuvunja mkataba bila kujalisha katikati ya msimu au mwisho wa msimu.
Ugumu anaokutana nao saizi Dube unatokana na hicho kiasi alichotajiwa kulipa.
Sasa wewe unasema kwanini asisubiri mwisho wa msimu as if katika hizo nyakati hatotakiwa kulipa hiyo hela ambayo saizi imekuwa mtihani kwake.
Ndio maana kuna hiyo faini.Timu ipo kwenye mashindano anaibuka mchezaji anataka kuvunja mkataba replacement ya huyo mchezaji itafanyika vipi mbona mambo mengine ni ya kutumia akili tu
Unaandika yote haya halafu mwisho wa siku dube anaenda kucheza soka south africa na sio timu za kkoo! Sijui utajiskiaje? Muwe mnakumbuka kuweka akiba ya manenoKitu walicho kosea Azam ni kutangaza kiasi Cha pesa, Hakuna pesa utakayo tajwa watu wakashindwa kulipia.
Kama kweli wanahitaji kiasi icho, wiki haitamalizika iyofedha watapewa.
Wakati wa sakata la Feisali, tulionya mamlaka (TFF) mchezo huu wanao Fanya Azam utakuja kuleta shida kubwa uko tunako elekea Tena katikati ya msimu, ndio hiki kinacho tokea.
Kama walivyo umia Yanga kwa kumuachia Feisal wakiwa wanamuhitaji katika mashindano Magumu na wakatoboa.
Na wengine watapitia njia iyoiyo mpaka Tff watakapo kuja na Suluhisho la kudumu.