Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Habari wakuu,
Inaelezwa kuwa Bosi wa Singida Black Stars ameweka ahadi ya donge nono kama motisha kwa wachezaji ili waweze kumzuia mnyama kupata pointi tatu leo.
Kigogo huyo ametoa ahadi ya Sh 50 milioni kwa wachezaji kama
wataweza kuibuka na ushindi dhidi ya Simba.
Inaelezwa kuwa Bosi wa Singida Black Stars ameweka ahadi ya donge nono kama motisha kwa wachezaji ili waweze kumzuia mnyama kupata pointi tatu leo.
Kigogo huyo ametoa ahadi ya Sh 50 milioni kwa wachezaji kama