Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Sawa mkuu.Msiendekeze umaskini. Kuna mtu zinapata hiyo hela wakiwa wamelala, nyie mnaongelea wachezaji pro wa mpira wanaovuja jasho, kupigana vikumbo na kuvunjana uwanjani. Mchezaji anakimbia zaidi ya kilomita 10 ndani ya dakika 90.