Kumekucha: Sweden yaanzisha mchezo wa ngono, kama soka tu. Kuwa mwenyeji mashindano ya mabingwa Ulaya

Kumekucha: Sweden yaanzisha mchezo wa ngono, kama soka tu. Kuwa mwenyeji mashindano ya mabingwa Ulaya

wazungu wako huru sana..

warm up ndio hizooo🙌🙌
FB_IMG_1686228095783.jpg
 
Kwani kunakuwa na refa kwenye hii michezo?

Au Foul ukipigia nje?
 
Dunia Ina mambo, nadhani yameanza Leo mashindano haya. Ni vema mleta Uzi ungeupdate na tupicha maana najua huko kwingineko linaweza kukawa tayari kunaupdates. Ukizingatia ni Mchezo mpya katika mashindano duniani.
 
Sweden imepitisha ngono kama sehemu ya Michezo na itaandaa na kuwa mwenyeji wa Mashindano ya kusimamia kucha Huku Ulaya..

My Take
Uhuru wa Mwanadamu ukizidi unakuwa kufuru na upumbavu..

=======
Inadaiwa kuwa michezo hiyo inatarajiwa kuanza hivi karibuni ikiwa na kanuni na taratibu pamoja na vigezo vyake

Inaelezwa kuwa michuano husika inatarajiwa kuanza Juni 8, 2023 ikiwa chini ya Swedish Sex Federation.

Michuano hiyo itaendeshwa kwa wiki kadhaa ambapo washiriki watatakiwa kushindana kwa muda wa saa sita kila siku, ambapo washiriki 20 kutoka katika Nchi tofauti wameomba kushiriki

Washindi watapatikana kupitia majaji watatu pamoja na uamuzi wa watazamaji


=============

Sweden has become the first country in the world to officially register sex as a sport and will also host the first-ever European Sex Championship in Gothenburg on June 8.

The championship which will take place under the guidance of the Swedish Sex Federation, will go on for six weeks with participants engaging in sexual activities under 16 disciplines, including seduction, oral sex, penetration, and more.

First-ever European Sex Championship: All you need to know
The European Sex Championship will begin on June 8 and will go on for six weeks where participants will engage in sexual activities from 45 minutes to 1 hour each day with their matches and/or activities. The duration will vary depending on the match, however, some reports said that the competitions can go on for as long as six hours a day.

Source: Wion


===============


In Sweden, sex is now a sport, first European Sex Championship to be held soon

The world will have its first sex championship in Europe with set rules, regulations and criteria! Find out what it's all about.

In a world where so many countries do not let you talk about sex openly, Sweden is now turning it into a sport! The first European Sex Championship will be held on June 8 by the Swedish Sex Federation.

The Championship will span over several weeks and will feature participants competing for 6 hours every day. According to reports, the participants will have 45 minutes to an hour to engage with their matches or activities.

Talking about the participants, 20 people from different countries have applied for the Championship now. The winners will be determined through three juries and audience ratings. In each discipline, participants can score between 5 and 10 points. The contestants will compete in 16 disciplines which include seduction, oral sex, penetration, appearance, body massages, exploring erotic zones, position changes, creativity in the positions, number of orgasms and endurance.

The European Sex Championship values diversity and accepts competitors of any gender or sexual orientation. The organisers have emphasised that sexual orientation can play a strategic role in this sport, which they believe will be adopted by other European countries in the future.

“The incorporation of sexual orientation as a part of sporting tactics will be a groundbreaking development among European countries,” stated the competition organiser.

Dragan Bratych, president of the Swedish Federation of Sex, expressed his belief that the recognition of sex as a sport was inevitable. He highlighted the potential for physical and mental well-being through sexual activity, emphasizing the importance of training.

“Just like any other sport, achieving desired results in sex requires training. Therefore, it is only logical for people to start competing in this domain as well,” Bratych explained to the media.

Source: Timesofindia
Tumpeleke mzabzab akaliwakilishe taifa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Kwani National Anthem anasemaje....
Mzee wa kupambania
dronedrake

😊☺️☺️😊🤓🤓
 
MKUYATI
PUTURURU
VUMBI LA KONGO
VIKS
GIDEMBWE
BANIZA
VEKULE
SARANGE
SPERA
SADENGE
VIZIKALI

HAWATOOOKIII
VICKS gani hiyo? Kama ni hii ya mafua mbona kama chachu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]
 
Wazungu sasa wanavuta mipaka baada ya kuchezea movies za ngona na sisi kuangalia kwa vificho sasa wamekuja na mashindano kama WWE ngono inapigwa ulingoni hadI mshindi apatikane.

Yameanza rasmi leo alhamisi
 

Attachments

  • IMG-20230607-WA0040.jpg
    IMG-20230607-WA0040.jpg
    98.1 KB · Views: 8
Hawa wabongo hamieni Uswidi
 

Attachments

  • Screenshot_20230608-195336_Twitter.jpg
    Screenshot_20230608-195336_Twitter.jpg
    51.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20230608-195316_Twitter.jpg
    Screenshot_20230608-195316_Twitter.jpg
    91.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230608-195258_Twitter.jpg
    Screenshot_20230608-195258_Twitter.jpg
    82.5 KB · Views: 6
Back
Top Bottom