Kumekucha, Ukraine walipua nyambizi (sub-marine) na meli ya kivita ya Urusi

Kumekucha, Ukraine walipua nyambizi (sub-marine) na meli ya kivita ya Urusi

Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!

Siku Russia ikipambana na NATO itafutika kwenye uso wa dunia, endeleeni kujiliwaza na kujiaminisha vitu vya kuwafariji ila hii Urusi sio ambavyo wengi tuliiogopa, ni hovyo sana.
 
Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Mkuu Ukraine amesha shindwa hii vita ... Achana na propaganda za bbc na cnn ....MAZUNGUMZO ya amani ndio kilicho baki........
 
Nilikua namkubali sana Putin kwa misimamo yake ila alipojiingiza kwenye hii vita nimemuona kavu sana anahangaika kuomba misaada huku Taifa lenye nguvu likiwa linatekea kwa Uchumi wahuni wamempelekea kete mbovu kaingia kwenye vita kuijenga tena Urusi kuwa kama mwanzo sio leo....
Wengi ambao tupo upande wa Ukraine, wanatuhisi kama sisi tunamchukia Putin toka huko nyuma, ila wasichojua ni kuwa, tulikuwa tunamuona Putin ni mtu anayejielewa sana.

Kwa bahati mbaya, kupitia hii vita, tumemuona jamaa ni mzinguaji.
 
Wengi ambao tupo upande wa Ukraine, wanatuhisi kama sisi tunamchukia Putin toka huko nyuma, ila wasichojua ni kuwa, tulikuwa tunamuona Putin ni mtu anayejielewa sana.

Kwa bahati mbaya, kupitia hii vita, tumemuona jamaa ni mzinguaji.

Nakumbuka nilikua napenda sana hii kauli yake kipindi alikua anawachakaza magaidi ya dini "To forgive a terrorist is up to God, but to send them to God for forgiveness is up to me."
 
Mkuu sema kwa kuwa una chuki binafsi na Putin!
Lakini Putin anaitengeneza dunia, iwe mahali ambapo kila Taifa litajiamria mambo yake bila kuingiliwa na Mabeberu (US na EU) ambao wanataka dunia nzima iwe chini yao!
Pamoja na hiyo vita bado EU countries zinaendelea kuagiza nishati ya Gesi na Mafuta toka Russia!
Kwa hiyo uwezo wa Putin kuendesha vita hiyo bado anao!
Anaitengeneza dunia! Hahaha!
Si angeanza na nyumbani? Nyumbani kwake mwenyewe wananchi hawako huru kujiamulia mambo yao halafu unasema lengo lake ni kuitengeneza dunia.

Kweli mapenzi hupofusha. Mimi nikuambie ukweli mchungu kwamba. Si Mrusi, si mchina wala si mwarabu ambaye anaweza kuwa na nia njema na dunia hata kidogo, ni afadhali west mara kumi kuliko hao niliowataja sema tu hawajapata uwezo wa kuitawala dunia.

Ninazo sababu mia na moja za kusema hivyo
 
Nilichogundua Russia ana vita kali sana pia ya Wanajeshi wake kutoa siri kama yule mwanajeshi aliekimbia na Chopa ikiwa na siraha za kutosha na wanajeshi wanne ndani yeye kapewa zawadi hao wengine watarudishwa...hii vita haina maana Putin alishauriwa vibaya na Prigozhin leo hii anaomba msaada kwa kiduku...

= silaha

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Basi wakubaliane na kushusha pesa na maisha yao. Uwezi pambana na mabeberu ukawa salama. Naishia apo
 
20% ya Territory ya Ukraine imechukuliwa na ipewa Uraia wa Russia halafu mna jigamba hapa eti Submarine 1. Hivi unajua how Productive is 20% of Ukraine Land in terms on Revenues, and Natural Resources?
 
Kama mpaka leo hawajafanikiwa kumshikisha adamu, na bado ameyakalia majimbo aliyoyateka, West hawamuwezi!
Isitoshe kwa kuwaonyesha ubabe ameruhusu uchaguzi wa ndani ufanyike katika majimbo aliyoteka na wananchi bado wanamuunga mkono!
"Kila taifa litajiamria mambo yake" sasa kwann yy anataka kumuamria Ukraine kwenye mambo yake?
Kaa kimya huna unachokijua kwenye hii vita kaa kwa kutulia ushuhudie Supapawa wa mchongo akishikishwa adabu
 
Kama mpaka leo hawajafanikiwa kumshikisha adamu, na bado ameyakalia majimbo aliyoyateka, West hawamuwezi!
Isitoshe kwa kuwaonyesha ubabe ameruhusu uchaguzi wa ndani ufanyike katika majimbo aliyoteka na wananchi bado wanamuunga mkono!
Urusi ndio aliyeivamia Ukraine na kwakuwa alikuwa amejipanga kufanya uvamizi huu muda mrefu usitegemee kumuondoa kwenye hayo majimbo ni jambo la muda mfupi hivyo kaa kwa kutulia maana yajayo yanafurahisha mvamizi anashikishwa adabu polepole na mwisho atatema majimbo yote bila kupenda.
 
Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!

For the record nato forces hawapo kwenye frontlines. Nato countries zina provide silaha ,ukraine ndio wana fight.

Huwezi sema nato ,wkt hawana troops on the ground, airforce and navy za natao countries hazipo.
In short nato hawaja commit 100%

Russia ni invincible? Check the record again. Hakuna nchi ambayo ni invinceble kwenye uwanja vita
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnatujazia saver ya jamii forrum maana kila siku kuanzisha nyuzi mpya.
 
Nilikua namkubali sana Putin kwa misimamo yake ila alipojiingiza kwenye hii vita nimemuona kavu sana anahangaika kuomba misaada huku Taifa lenye nguvu likiwa linatekea kwa Uchumi wahuni wamempelekea kete mbovu kaingia kwenye vita kuijenga tena Urusi kuwa kama mwanzo sio leo....
Wewe bakhresa unaweza kumwita kwako ili uje kumuomba msaada?.

Yani anayeomba msaada kafatwa kwake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom