Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Mkuu Ukraine amesha shindwa hii vita ... Achana na propaganda za bbc na cnn ....MAZUNGUMZO ya amani ndio kilicho baki........Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Wengi ambao tupo upande wa Ukraine, wanatuhisi kama sisi tunamchukia Putin toka huko nyuma, ila wasichojua ni kuwa, tulikuwa tunamuona Putin ni mtu anayejielewa sana.Nilikua namkubali sana Putin kwa misimamo yake ila alipojiingiza kwenye hii vita nimemuona kavu sana anahangaika kuomba misaada huku Taifa lenye nguvu likiwa linatekea kwa Uchumi wahuni wamempelekea kete mbovu kaingia kwenye vita kuijenga tena Urusi kuwa kama mwanzo sio leo....
Wajumbe wa NATO walitenga bajeti ya miaka mitano ya vita, watu wakabeza sana, wakasema vita haiwezi kumaliza miezi miwili.Na ndiyo hapo nimekueleza,hakujua kitakachotokea akianzisha vita bila kutafakari kwa akili?Wanamrefushia muda wa vita makusudi ili wamnyong'onyeze kiuchumi na kijeshi.Crippling the fool!
Watu wanaichukulia NATO kama SADC vile.
Wengi ambao tupo upande wa Ukraine, wanatuhisi kama sisi tunamchukia Putin toka huko nyuma, ila wasichojua ni kuwa, tulikuwa tunamuona Putin ni mtu anayejielewa sana.
Kwa bahati mbaya, kupitia hii vita, tumemuona jamaa ni mzinguaji.
Anaitengeneza dunia! Hahaha!Mkuu sema kwa kuwa una chuki binafsi na Putin!
Lakini Putin anaitengeneza dunia, iwe mahali ambapo kila Taifa litajiamria mambo yake bila kuingiliwa na Mabeberu (US na EU) ambao wanataka dunia nzima iwe chini yao!
Pamoja na hiyo vita bado EU countries zinaendelea kuagiza nishati ya Gesi na Mafuta toka Russia!
Kwa hiyo uwezo wa Putin kuendesha vita hiyo bado anao!
Nilichogundua Russia ana vita kali sana pia ya Wanajeshi wake kutoa siri kama yule mwanajeshi aliekimbia na Chopa ikiwa nasirahaza kutosha na wanajeshi wanne ndani yeye kapewa zawadi hao wengine watarudishwa...hii vita haina maana Putin alishauriwa vibaya na Prigozhin leo hii anaomba msaada kwa kiduku...
Basi wakubaliane na kushusha pesa na maisha yao. Uwezi pambana na mabeberu ukawa salama. Naishia apoMkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
"Kila taifa litajiamria mambo yake" sasa kwann yy anataka kumuamria Ukraine kwenye mambo yake?
Kaa kimya huna unachokijua kwenye hii vita kaa kwa kutulia ushuhudie Supapawa wa mchongo akishikishwa adabu
Urusi ndio aliyeivamia Ukraine na kwakuwa alikuwa amejipanga kufanya uvamizi huu muda mrefu usitegemee kumuondoa kwenye hayo majimbo ni jambo la muda mfupi hivyo kaa kwa kutulia maana yajayo yanafurahisha mvamizi anashikishwa adabu polepole na mwisho atatema majimbo yote bila kupenda.Kama mpaka leo hawajafanikiwa kumshikisha adamu, na bado ameyakalia majimbo aliyoyateka, West hawamuwezi!
Isitoshe kwa kuwaonyesha ubabe ameruhusu uchaguzi wa ndani ufanyike katika majimbo aliyoteka na wananchi bado wanamuunga mkono!
Daah leo nimeingia kwenye copy yako sina neno bhana ....= silaha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Usijali, karekebishe na mimi ntaifuta isiwepo kwenye rikodi.Daah leo nimeingia kwenye copy yako sina neno bhana ....
Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Wewe bakhresa unaweza kumwita kwako ili uje kumuomba msaada?.Nilikua namkubali sana Putin kwa misimamo yake ila alipojiingiza kwenye hii vita nimemuona kavu sana anahangaika kuomba misaada huku Taifa lenye nguvu likiwa linatekea kwa Uchumi wahuni wamempelekea kete mbovu kaingia kwenye vita kuijenga tena Urusi kuwa kama mwanzo sio leo....