Sasa huoni hio yakila taifa kua huru kuamua inachotaka ndio dunia itakua sehem hatari kuishi kuna marais watajitangazia umungu nahakuna atakae kemeaMkuu sema kwa kuwa una chuki binafsi na Putin!
Lakini Putin anaitengeneza dunia, iwe mahali ambapo kila Taifa litajiamria mambo yake bila kuingiliwa na Mabeberu (US na EU) ambao wanataka dunia nzima iwe chini yao!
Pamoja na hiyo vita bado EU countries zinaendelea kuagiza nishati ya Gesi na Mafuta toka Russia!
Kwa hiyo uwezo wa Putin kuendesha vita hiyo bado anao!
Yule sasa hivi anaishi kwa kujificha ficha vikao nje ya Urusi basi tenaWewe bakhresa unaweza kumwita kwako ili uje kumuomba msaada?.
Yani anayeomba msaada kafatwa kwake[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanajeshi wangapi wa NATO wamekufa mpaka sasa??Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Ameamua kuwalazimisha kijeshi, Putin hana akili.Russia iimarishe Uchumi wake tu akina ukraine and the like watajusalimisha kwake wenyewe.
Mbona sasa hataki Ukraine ijiamulie mambo yake??Mkuu sema kwa kuwa una chuki binafsi na Putin!
Lakini Putin anaitengeneza dunia, iwe mahali ambapo kila Taifa litajiamria mambo yake bila kuingiliwa na Mabeberu (US na EU) ambao wanataka dunia nzima iwe chini yao!
Pamoja na hiyo vita bado EU countries zinaendelea kuagiza nishati ya Gesi na Mafuta toka Russia!
Kwa hiyo uwezo wa Putin kuendesha vita hiyo bado anao!
Ukraine itakuwa na uhuru kiasi wakati itaburuzwa na US kujiunga na NATO ili itumiwe kama njia ya kuishambulia Russia?Sasa huoni hio yakila taifa kua huru kuamua inachotaka ndio dunia itakua sehem hatari kuishi kuna marais watajitangazia umungu nahakuna atakae kemea
Haiburuzwi ni kwamba iko huru kuchagua rafiki amtakae sasa Russia analazimisha Ukraine awe nayeyeUkraine itakuwa na uhuru kiasi wakati itaburuzwa na US kujiunga na NATO ili itumiwe kama njia ya kuishambulia Russia?
Mataahira hayataelewaNilichogundua Russia ana vita kali sana pia ya Wanajeshi wake kutoa siri kama yule mwanajeshi aliekimbia na Chopa ikiwa na silaha za kutosha na wanajeshi wanne ndani yeye kapewa zawadi hao wengine watarudishwa...hii vita haina maana Putin alishauriwa vibaya na Prigozhin leo hii anaomba msaada kwa kiduku...
Ameshashindwa vita anaona aibu kusemaMkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
Leo imekuwaje vita wakati alisema ni operation maalum!? Vipi jasusi hakuwa na taarifa kuwa Ukraine ataungwa mkono na hao mnaosingizia NATO.Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
CONFIRMED:Leo tena Ukraine imefanya mashambulizi ya drone hapo Crimea wakilenga air defenses.
Video:
View: https://twitter.com/front_ukrainian/status/1702199454042820716?t=g4yHqSFKZsbV-ZCB7kqfgQ&s=19
Hakika kama unajua lakini ukweli ni huu over 80% ya jeshi lote la Ukrained (skilled & experiemced personel) walishauwawa au wamepata ulemavu wa kudumu.For the record nato forces hawapo kwenye frontlines. Nato countries zina provide silaha ,ukraine ndio wana fight.
Huwezi sema nato ,wkt hawana troops on the ground, airforce and navy za natao countries hazipo.
In short nato hawaja commit 100%
Russia ni invincible? Check the record again. Hakuna nchi ambayo ni invinceble kwenye uwanja vita
endelea kutokujuaPutin sijui kawakosea nn
aliemvamia mwenzie ni nan?Mkuu fahamu Russia inapambana na NATO siyo Ukraine!
Lakini Putin ameshasema Russia is "invincible"! Yaani ni vigumu Russia kushindwa katika vita.
Na amesema Russia haita surrender katika vita hivi mpaka pale Ukraine itakapokubali kuwa Neutral state!
nan alintuma avamie ukraineMkuu huo ni mtazamo wako! Putin anapigana na Mabeberu.
Alifata nn huko? Nikikumbuka lile limsafara la vifaru la mwezi Feb mwaka jana la km 150(almost Shinyanga to Mwanza km 164). NASHINDWA kuelewa kabsa ila nikifikilia kwa kina kwa nn aliogopa kwenda South Africa kwenye mkutano wa brics,na nikiwaza kwa nn anaomba msaada kwa North korea naanza kuelewa kwa nn Rais Zele wa Ukraine Bado yupo haiPutin sijui kawakosea nn
Wahuni wapi? Hao walioruhusu Hadi wanajeshi Kuwa Mashoga? Ni Swala la Muda Tuu Hizo nchi zitasambaratika.Nilikua namkubali sana Putin kwa misimamo yake ila alipojiingiza kwenye hii vita nimemuona kavu sana anahangaika kuomba misaada huku Taifa lenye nguvu likiwa linatekea kwa Uchumi wahuni wamempelekea kete mbovu kaingia kwenye vita kuijenga tena Urusi kuwa kama mwanzo sio leo....
Shida yenu mnashangilia vita kama mpira wa Simba/Yanga badala ya kuongelea uhalisia uliopo kwani ukiongelea athari ya vita bila kuweka Unazi unaathirika nini wewe ambae upo Kijenge na simu yako tuu...Wahuni wapi? Hao walioruhusu Hadi wanajeshi Kuwa Mashoga? Ni Swala la Muda Tuu Hizo nchi zitasambaratika.
Alifata nn huko? Nikikumbuka lile limsafara la vifaru la mwezi Feb mwaka jana la km 150(almost Shinyanga to Mwanza km 164). NASHINDWA kuelewa kabsa ila nikifikilia kwa kina kwa nn aliogopa kwenda South Africa kwenye mkutano wa brics,na nikiwaza kwa nn anaomba msaada kwa North korea naanza kuelewa kwa nn Rais Zele wa Ukraine Bado yupo hai