Nilichogundua Russia ana vita kali sana pia ya Wanajeshi wake kutoa siri kama yule mwanajeshi aliekimbia na Chopa ikiwa na silaha za kutosha na wanajeshi wanne ndani yeye kapewa zawadi hao wengine watarudishwa...hii vita haina maana Putin alishauriwa vibaya na Prigozhin leo hii anaomba msaada kwa kiduku...