Nimesema hivi ..La liga Timu zinazofanya Vizuri ni 2(Real Madrid na Barcelona)-3(Altetico Madrid,Bilbao na Sevilla)....na hata ukifukuza Kocha Timu zile mbili top 4 hazikosi
Ligi yetu naifananisha na EPL yaani kuna gape kubwa la Uwekezaji Baina ya Timu moja na timu nyingine hivyo hizi Timu nyingine kufanikiwa ni ngumu hata wakifungwa kelele zinakuwa nyiingi mfano game ya SINgida fountain Gate Vs Simba wachezaji wengi waliocheza na wachezA benchi na usajili mpyah ila look the performance on the pitch...Hata Simba akichezesha kikosi B anaweza anamfunga Kengold vzr ila kinyume chake haiwezekani