Mimi kote nipo mkuuuSuper women 2 mpk huku upo?? Tumezoea kukutana kwenye lile jukwaa letu lile hahaha.
Ukweli haujifichi, Ney ni mwanafasihiNey katumia fasihi tu hajataja jina lolote la kiongozi na hakuna neno la kashfa lolote alilolitaja kwenye wimbo wake, anayetakiwa kukamatwa na kushtakiwa ni yule anayejihisi ameimbiwa yeye. Huwezi kumfunga mtu kwa kutoa mawazo yako kichwani na kutafsiri. Labda kama mahakama itathibitisha pasipo na shaka kuwa kiongozi fulani hapendi kushauriwa, au kiongozi fulani ni kweli amepoteza marinda hivyo kuimbwa ni kumdhalilisha, au Bashite wa kolomije ni jina halali kisheria la kiongozi fulani,
Ingia youtube search wapo utaupata upo sanaAsante. Ila ntaupta
AsanteIngia youtube search wapo utaupata upo sana
Wakili anatetea mti yeyote yule awaye na kesi yeyote ile iwayo ndio maana akaitwa wakili!Mawakili wengine si wasomi?[emoji23] [emoji23] msomi hawezi tetea ujinga/upuuzi!
We usiguse! kolomije namba mbili hiyo" au hujui kuwa huyo ni msanii pendwa chama kile?anatakiwa achukue nafasi ya almarhum komba 2020Na wakauhoji wimbo wa salome kama una maadili,,
Nimeusikiliza mkuu,Ingia youtube search wapo utaupata upo sana
Always mtu mwenye makosa huwa anajihisiNey katumia fasihi tu hajataja jina lolote la kiongozi na hakuna neno la kashfa lolote alilolitaja kwenye wimbo wake, anayetakiwa kukamatwa na kushtakiwa ni yule anayejihisi ameimbiwa yeye. Huwezi kumfunga mtu kwa kutoa mawazo yako kichwani na kutafsiri. Labda kama mahakama itathibitisha pasipo na shaka kuwa kiongozi fulani hapendi kushauriwa, au kiongozi fulani ni kweli amepoteza marinda hivyo kuimbwa ni kumdhalilisha, au Bashite wa kolomije ni jina halali kisheria la kiongozi fulani,
Tulia wewe kiazi,wanaume wapambaneKosa kuikashfu serikali period... Hakuna kuwekewa dhamana
Hongera Ney we are together broKatika ukurasa wake wa FB peter kibatala amesema watapigana mpk tone la mwisho leo hii 27/3/2017 kuhakikisha ney wa mitego anapelekwa mahakamani na anapewa dhamana.
Ameandika hawawezi kumwacha mpigania haki peke yake, pia kibatala ametoa pongeze za dhati kwa ney wa mitego kwa kuwa jasiri. Mungu ibariki Tanzania yetu
View attachment 487319