Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hahaha lakini unapotafuta haki angalia nawe usivunje haki ya mwingine. Lema kamuita Mpumbavu, wewe una tumia neon walevi wengine. Tupeleke FIFA na CAF, kasha tusubiri kufurahia matokeo. Lakini ikiwa bado hatujafikia huko na kujua outcome ya hili basi nasi tuwe waungwana, kinyume chake tunakuwa kama huyo tunaye mlalamikia.Hili litakuwa fundisho kwa walevi wengine , hapa ndio utajua nguvu ya TUNDU LISSU
Mtagonga mwambaHili litakuwa fundisho kwa walevi wengine , hapa ndio utajua nguvu ya TUNDU LISSU
Maneno ya mwisho ni murua kabisa hongera sana!!!!!!!Hapa ndio utakubali kuwa upinzan unaendeshwa na mihemko na MATUKIO. Mjadala wa 1.5T,Sheria ya vyama vya siasa umepotezwa na neno UTUNDULISU. Hili halitafika mbali CCM watakuja na wimbo mpya na kama kawaida vijana wa ufipa watahama. Ni maajabu sana ukisikia mtu anasema upinzan kuna watu SMART.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.