Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Binafsi mimi erythrocyte nachukua nafasi hii kumtangaza ndugu Wallace Karia, mtu aliyeingia madarakani kwa mgongo wa Malinzi kama adui wa taifa aliyedhamiria kuua soka la Tanzania kwa sababu anazozijua mwenyewe , yawezekana tuhuma zake za uraia wa somalia zina ukweli.