Mipango imefikia wapi?Mipango yote imekamilika , Hatimaye barua yenye uchafu wa Karia imeishafikishwa FIFA
Mahakama ipi?Si aliomba radhi mahakamani kwa nini acheni ushabiki wa kipumbavu acheni maisha yaendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama aliomba radhi hamkumuelewa mpaka mnaamua kumpeleka tena mahakamani mkuuMahakama ipi?
Radhi yenyewe ya kejeli hujamsikia?Kama aliomba radhi hamkumuelewa mpaka mnaamua kumpeleka tena mahakamani mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho?Mipango yote imekamilika , Hatimaye barua yenye uchafu wa Karia imeishafikishwa FIFA
Umeisikia TAKUKURU ?
Kigogo2014 anasema huyo amewekwa na PM, hivyo hiyo hi geresha hatafanyqwa kitu!View attachment 1011925
View attachment 1011926
View attachment 1011927
Binafsi mimi erythrocyte nachukua nafasi hii kumtangaza ndugu Wallace Karia, mtu aliyeingia madarakani kwa mgongo wa Malinzi kama adui wa taifa aliyedhamiria kuua soka la Tanzania kwa sababu anazozijua mwenyewe , yawezekana tuhuma zake za uraia wa somalia zina ukweli.
Mungu kampiga pigo la kinyume kala 1bilion tff
Huyu amewekwa na wakubwa PM, hakuna kesi itakayomwandama!Mungu kampiga pigo la kinyume kala 1bilion tff
Kajiingiza kingi mwenyeweKwa upuuzi huu Karia hachomoki FIFA kumpiga rungu. Ajiandae kisaikolojia.