Kumekucha: Wallace Karia kuburuzwa mahakamani, clip zake za matusi dhidi ya Lissu kupelekwa FIFA

Kumekucha: Wallace Karia kuburuzwa mahakamani, clip zake za matusi dhidi ya Lissu kupelekwa FIFA

NAONA HADITHI TU TANGU UZI HUU UTOKE NYERERE NA LEMA hakuna cha kesi wala nini KARIA ANAPETA TU ...na kuwaandalia SIMBA ubingwa wa mezani kwa mechi za vipolo nk
 
nashangaa na wanaopenda kuona wenzao wanaangamia
kwanza mjiulize Wallace Karia kawekwa na nani pale TFF
katika List hakuwepo kabisa ndio mjue watu wapo kazini kwa lolote
 
Back
Top Bottom