Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
WANAUME.
  1. Frank.
  2. John.
  3. Kelvin.
  4. Charles
  5. Edward.
  6. Kassim.
  7. Mohamed.
  8. Abdallah.
  9. Said.
  10. Yassin.
WANAWAKE.
  1. Brenda.
  2. Catherine.
  3. Sarah.
  4. Grace.
  5. Janet.
  6. Rahma.
  7. Asnath.
  8. Khadija.
  9. Nuru.
  10. Hidaya.
Kwa ambao pengine kwa namna moja au nyingine majina yetu hayapo katika Orodha ya kutukuka hapo juu tusiwe tunashangaa sana pindi tunapokuwa tunapatwa na " misukosuko " kila uchao katika maisha yetu ya Kimahusiano kwani jibu sahihi ni katika majina.

Kama utaona umeumia na ukweli uliopo hapo juu bado una muda wa kwenda kubadili jina ili uchague moja wapo hapo juu ila ukweli ni kwamba wenye hayo majina hapo juu ndiyo VINARA kwa MAHABA na wana MVUTO halisia wa KIMAPENZI.

Hongereni sana wenye hayo majina hapo juu na Wewe ambaye kila kukicha unalalamika Mpenzi wako anakusumbua au anakutesa nadhani leo kupitia haya majina tajwa hapo juu utakuwa umeshapata suluhisho kamili hivyo fanya maamuzi upesi na Chagua Mpenzi mwenye majina tajwa hapo juu tu na hayo mengine achana nayo tafadhali.

Ijumaa njema / kareem.
 
WANAUME.
  1. Frank.
  2. John.
  3. Kelvin.
  4. Charles
  5. Edward.
  6. Kassim.
  7. Mohamed.
  8. Abdallah.
  9. Said.
  10. Yassin.
WANAWAKE.
  1. Brenda.
  2. Catherine.
  3. Sarah.
  4. Grace.
  5. Janet.
  6. Rahma.
  7. Asnath.
  8. Khadija.
  9. Nuru.
  10. Hidaya.
Kwa ambao pengine kwa namna moja au nyingine majina yetu hayapo katika Orodha ya kutukuka hapo juu tusiwe tunashangaa sana pindi tunapokuwa tunapatwa na " misukosuko " kila uchao katika maisha yetu ya Kimahusiano kwani jibu sahihi ni katika majina.

Kama utaona umeumia na ukweli uliopo hapo juu bado una muda wa kwenda kubadili jina ili uchague moja wapo hapo juu ila ukweli ni kwamba wenye hayo majina hapo juu ndiyo VINARA kwa MAHABA na wana MVUTO halisia wa KIMAPENZI.

Hongereni sana wenye hayo majina hapo juu na Wewe ambaye kila kukicha unalalamika Mpenzi wako anakusumbua au anakutesa nadhani leo kupitia haya majina tajwa hapo juu utakuwa umeshapata suluhisho kamili hivyo fanya maamuzi upesi na Chagua Mpenzi mwenye majina tajwa hapo juu tu na hayo mengine achana nayo tafadhali.

Ijumaa njema / kareem.
Hongera kwa kuchukua mikoba ya sheikh yahaya na kwa kupata wachangiaji pia. Kituo chenu cha radio mawingu mna slogan yenu ya kuchukua fursa.
 
Majina yenye utukufu wote. ..Rose Benjamin Anderson ....
 
Dr John Pombe Magufuli,

Mh Kasimu Majaliwa
 
!
!
Kwa hiyo kwa mfano majina yooote yanayoanziwa na A ni Abdala tu? teh teh teh naenda kubadili dini na jina pia naemtest kwa miezi sita nisipofanikiwa naachsna nalo.
 
hahahah JOHN na EDWARD wapooooo hahahahhahhahaha, nakumbuka uchaguzi wa TZ 2015 tehe tehe tehe tehe
 
Heheheh hakuna kabisaaa kuna majina hapo ni matamu hayapo la kwangu pia halipo
 
Back
Top Bottom