Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

majina yale ya juu ya wanaume huwavutia wanawake wengi sana,ndio maana kwa mfano:frank,said(side),john ,abdallah(dulla) ni mepesi kuyatamka na mwenye jina akarespond kwa haraka hii humfanya mwanamke kijihisi kuwa ana nafasi kubwa sana kwa mwanaume huyo. fuatialia wimbo wa temba kuna eneo jamaa anasema(side said mnyamwezi mtoto wa mbezi ana mademu ile kishenzi) HONGERENI BWANA NA MAJINA YENU MIMI NAITWA PARTRICK.
 
Hahahahaaaaaa umesahau majina ya asili au ya kilugha
 
haaa mbona mie langu halipo na kila siku bby wangu ananiambia nina mvuto?

acheni hizo bhana, mvuto hauko kwa majina bali kwa mutu menyewe, looooh
 
Hamna ukweli wowote.kwa hiyo hata km sina mvuto nikibadili Tu jina mvuto unakuja

mbona watudanganya waziwazi
 
WANAUME.
  1. Frank.
  2. John.
  3. Kelvin.
  4. Charles
  5. Edward.
  6. Kassim.
  7. Mohamed.
  8. Abdallah.
  9. Said.
  10. Yassin.
WANAWAKE.
  1. Brenda.
  2. Catherine.
  3. Sarah.
  4. Grace.
  5. Janet.
  6. Rahma.
  7. Asnath.
  8. Khadija.
  9. Nuru.
  10. Hidaya.
Kwa ambao pengine kwa namna moja au nyingine majina yetu hayapo katika Orodha ya kutukuka hapo juu tusiwe tunashangaa sana pindi tunapokuwa tunapatwa na " misukosuko " kila uchao katika maisha yetu ya Kimahusiano kwani jibu sahihi ni katika majina.

Kama utaona umeumia na ukweli uliopo hapo juu bado una muda wa kwenda kubadili jina ili uchague moja wapo hapo juu ila ukweli ni kwamba wenye hayo majina hapo juu ndiyo VINARA kwa MAHABA na wana MVUTO halisia wa KIMAPENZI.

Hongereni sana wenye hayo majina hapo juu na Wewe ambaye kila kukicha unalalamika Mpenzi wako anakusumbua au anakutesa nadhani leo kupitia haya majina tajwa hapo juu utakuwa umeshapata suluhisho kamili hivyo fanya maamuzi upesi na Chagua Mpenzi mwenye majina tajwa hapo juu tu na hayo mengine achana nayo tafadhali.

Ijumaa njema / kareem.
Ningekosekana iyo list yako ingekua hewa
 
majina yale ya juu ya wanaume huwavutia wanawake wengi sana,ndio maana kwa mfano:frank,said(side),john ,abdallah(dulla) ni mepesi kuyatamka na mwenye jina akarespond kwa haraka hii humfanya mwanamke kijihisi kuwa ana nafasi kubwa sana kwa mwanaume huyo. fuatialia wimbo wa temba kuna eneo jamaa anasema(side said mnyamwezi mtoto wa mbezi ana mademu ile kishenzi) HONGERENI BWANA NA MAJINA YENU MIMI NAITWA PARTRICK.
Kelvin; kevy, kelly
 
Mkuu wewe jina lako lipo???

Thubutu Mkuu litokee wapi hapo? Mimi na wenzangu wengi nadhani ndiyo tuko katika lile fungu la kukosa. Naitwa Bw. Kalemera Rwigyema Mazimpaka a.k.a ( Kadogoo ) je kuna jina linalofanana na haya hapo juu katika majina orodheshwa?
 
Back
Top Bottom