Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

Ni kweli i see, jina langu limo na huwa nawavuta kama vile kumuangusha mlevi.. Tehtehteeh
 
Thubutu Mkuu litokee wapi hapo? Mimi na wenzangu wengi nadhani ndiyo tuko katika lile fungu la kukosa. Naitwa Bw. Kalemera Rwigyema Mazimpaka a.k.a ( Kadogoo ) je kuna jina linalofanana na haya hapo juu katika majina orodheshwa?
si ubadilishe jina kama ulivyotushauri??
 
Kumbe JPM na waziri Mkuu nao wamo pamoja na EL
 
Kwan dunian kuna majina mangapi ukiacha yale yale yanayojirudia.
 
Kwan dunian kuna majina mangapi ukiacha yale yale yanayojirudia.

Swali lako limeonyesha wazi kabisa kuwa huna jina linalofanana na hayo tajwa hapo juu hivyo sasa " unapovuka " tu Mkuu. Pole sana!
 
kassim yassin

Nichagulie jingine Mkuu kwani hapa " Kitaa " kuna " Kibaka " mmoja hivi anakwenda kwa jina hilo hilo na sifa yake kubwa au sijui ndiyo kipaji chake kikubwa hukuibia huku unamwangalia halafu utakuja kushtuka akiwa ndiyo anaishia ishia mtaa wa saba ( 7 ) na kutokomea zake.
 
Nichagulie jingine Mkuu kwani hapa " Kitaa " kuna " Kibaka " mmoja hivi anakwenda kwa jina hilo hilo na sifa yake kubwa au sijui ndiyo kipaji chake kikubwa hukuibia huku unamwangalia halafu utakuja kushtuka akiwa ndiyo anaishia ishia mtaa wa saba ( 7 ) na kutokomea zake.
mkuu mi naona hilo tu ndo linakufaa mengine ni oversize
 
WANAUME.
  1. Frank.
  2. John.
  3. Kelvin.
  4. Charles
  5. Edward.
  6. Kassim.
  7. Mohamed.
  8. Abdallah.
  9. Said.
  10. Yassin.
WANAWAKE.
  1. Brenda.
  2. Catherine.
  3. Sarah.
  4. Grace.
  5. Janet.
  6. Rahma.
  7. Asnath.
  8. Khadija.
  9. Nuru.
  10. Hidaya.
Kwa ambao pengine kwa namna moja au nyingine majina yetu hayapo katika Orodha ya kutukuka hapo juu tusiwe tunashangaa sana pindi tunapokuwa tunapatwa na " misukosuko " kila uchao katika maisha yetu ya Kimahusiano kwani jibu sahihi ni katika majina.

Kama utaona umeumia na ukweli uliopo hapo juu bado una muda wa kwenda kubadili jina ili uchague moja wapo hapo juu ila ukweli ni kwamba wenye hayo majina hapo juu ndiyo VINARA kwa MAHABA na wana MVUTO halisia wa KIMAPENZI.

Hongereni sana wenye hayo majina hapo juu na Wewe ambaye kila kukicha unalalamika Mpenzi wako anakusumbua au anakutesa nadhani leo kupitia haya majina tajwa hapo juu utakuwa umeshapata suluhisho kamili hivyo fanya maamuzi upesi na Chagua Mpenzi mwenye majina tajwa hapo juu tu na hayo mengine achana nayo tafadhali.

Ijumaa njema / kareem.
Kupatwa kwa mapenzi
 
Back
Top Bottom