Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

Kumekucha! Wenye majina haya tu ndiyo huwa na mvuto mkubwa wa kimapenzi

WANAUME.
  1. Frank.
  2. John.
  3. Kelvin.
  4. Charles
  5. Edward.
  6. Kassim.
  7. Mohamed.
  8. Abdallah.
  9. Said.
  10. Yassin.
WANAWAKE.
  1. Brenda.
  2. Catherine.
  3. Sarah.
  4. Grace.
  5. Janet.
  6. Rahma.
  7. Asnath.
  8. Khadija.
  9. Nuru.
  10. Hidaya.
Kwa ambao pengine kwa namna moja au nyingine majina yetu hayapo katika Orodha ya kutukuka hapo juu tusiwe tunashangaa sana pindi tunapokuwa tunapatwa na " misukosuko " kila uchao katika maisha yetu ya Kimahusiano kwani jibu sahihi ni katika majina.

Kama utaona umeumia na ukweli uliopo hapo juu bado una muda wa kwenda kubadili jina ili uchague moja wapo hapo juu ila ukweli ni kwamba wenye hayo majina hapo juu ndiyo VINARA kwa MAHABA na wana MVUTO halisia wa KIMAPENZI.

Hongereni sana wenye hayo majina hapo juu na Wewe ambaye kila kukicha unalalamika Mpenzi wako anakusumbua au anakutesa nadhani leo kupitia haya majina tajwa hapo juu utakuwa umeshapata suluhisho kamili hivyo fanya maamuzi upesi na Chagua Mpenzi mwenye majina tajwa hapo juu tu na hayo mengine achana nayo tafadhali.

Ijumaa njema / kareem.
Sio kweli kwa sababu jina langu lipo hapo na bado jamaa anasumbua [emoji4] [emoji4]
 
Kwelii hii ni kweli hasa hapo mamba tatu
 
Sio kweli kwa sababu jina langu lipo hapo na bado jamaa anasumbua [emoji4] [emoji4]

Usitegemee kama humkatii Viuno yeye atafurahia tu hiyo " mbunye " yako. Hayo majina yanaendana na " utamu " wako na unavyojishughulisha sasa Wewe endelea tu kudhani kuachanisha miguu pekee kunatosha wakati hata " mende " nae huiachanisha vile vile.
 
Acha kuwapoteza watu

Walishapotezwa " kitambo " tu na waliowapa hayo majina yao waliyonayo na ambayo katika list ya hapo juu hayapo. Sasa hapo Mimi naingiaje kuwa ninawapoteza? Pole sana Kaka Athumani.
 
Thubutu Mkuu litokee wapi hapo? Mimi na wenzangu wengi nadhani ndiyo tuko katika lile fungu la kukosa. Naitwa Bw. Kalemera Rwigyema Mazimpaka a.k.a ( Kadogoo ) je kuna jina linalofanana na haya hapo juu katika majina orodheshwa?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hamna ukweli wowote.kwa hiyo hata km sina mvuto nikibadili Tu jina mvuto unakuja

mbona watudanganya waziwazi
 
WANAUME.
  1. Frank.
  2. John.
  3. Kelvin.
  4. Charles
  5. Edward.
  6. Kassim.
  7. Mohamed.
  8. Abdallah.
  9. Said.
  10. Yassin.
WANAWAKE.
  1. Brenda.
  2. Catherine.
  3. Sarah.
  4. Grace.
  5. Janet.
  6. Rahma.
  7. Asnath.
  8. Khadija.
  9. Nuru.
  10. Hidaya.
Kwa ambao pengine kwa namna moja au nyingine majina yetu hayapo katika Orodha ya kutukuka hapo juu tusiwe tunashangaa sana pindi tunapokuwa tunapatwa na " misukosuko " kila uchao katika maisha yetu ya Kimahusiano kwani jibu sahihi ni katika majina.

Kama utaona umeumia na ukweli uliopo hapo juu bado una muda wa kwenda kubadili jina ili uchague moja wapo hapo juu ila ukweli ni kwamba wenye hayo majina hapo juu ndiyo VINARA kwa MAHABA na wana MVUTO halisia wa KIMAPENZI.

Hongereni sana wenye hayo majina hapo juu na Wewe ambaye kila kukicha unalalamika Mpenzi wako anakusumbua au anakutesa nadhani leo kupitia haya majina tajwa hapo juu utakuwa umeshapata suluhisho kamili hivyo fanya maamuzi upesi na Chagua Mpenzi mwenye majina tajwa hapo juu tu na hayo mengine achana nayo tafadhali.

Ijumaa njema / kareem.
uongo kupitiliza, names does nothing in love.
 
hii mada inawafaa wazungu na waarabu maana majina yote hapo hamna majina ya kiafrika
 
yaani nibadili jina kwaajili ya mapenzi eti sijui mvuto kweli


[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]


WAKUPIME WEWE SIO MZIMA
 
Uongo kabisa utasema hizo ndoa zote zilizofungwa ni wote wenye majina hayo mimi ziii
 
Usitegemee kama humkatii Viuno yeye atafurahia tu hiyo " mbunye " yako. Hayo majina yanaendana na " utamu " wako na unavyojishughulisha sasa Wewe endelea tu kudhani kuachanisha miguu pekee kunatosha wakati hata " mende " nae huiachanisha vile vile.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa vigeugeu ndo mwenyewe ntakuweza wapi mie!!!!
 
Back
Top Bottom