Kumekuwa na sintofahamu ya wananchi wanaohamishwa kutoka vijiji vya Utegi

Kumekuwa na sintofahamu ya wananchi wanaohamishwa kutoka vijiji vya Utegi

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Kumekuwa na sintofahamu kwa wananchi wanaohamishwa kutoka vijiji vya Utegi, Wilaya ya Rorya. Hizi ni baadhi ya maswali yanayojitokeza:

  1. Hawa wananchi hawajaelezwa ni kwa nini wanahamishwa.
  2. Wananchi hawa hawajaelezwa ni wapi wanapopelekwa.
  3. Malipo yao hayakuzingatia tathmini kama ilivyo utaratibu wa Serikali.
  4. Ni kwa nini malipo ya ardhi yao hayakuzingatiwa katika tathmini ya malipo yao?
  5. Ni kwa nini Serikali ya Awamu ya Sita imekuwa ikilalamikiwa sana katika suala la uhamisho wa wananchi, mfano Kata ya Nyatwali - Bunda, Ngorongoro - Arusha, Hifadhi ya Arusha National Park, Mbarali n.k.?
Kutokana na sintofahamu ya wananchi wa Utegi, tumeamua kwenda Mahakamani ili haki itendeke kutokana na uonevu tunaofanyiwa sisi wananchi wa Utegi.
 
Back
Top Bottom