Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bench la ufundi unakutana na MHINDI ujuaji mwingiii.. kmkHajui huku private, unaweza pigwa hata round tatu za interview tena zote ni intensive.
There ur aaa...Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview
Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
CPA unaweza kupata bila hata kusomea degree/kuwa na degree.Kwamba BCom na CPA ni miaka mitatu? Tuseme ni sahihi, basi uende kwenye panel kuonyesha hukupewa leseni bahati mbaya.
Interview kwa daktari ya nini? Nini unachokipima ukimfanyia interview MD wa entry level ?Kada sensitive kama Udaktari lazima INTERVIEW nilikuwa nashangaa sana unaajiri vipi bila kuwapima unaowaajiri.?
Procedures za HR lazima ufanye interview ili upate kile unachotaraji.
Pia, background checks and vetting ni muhimu sana.. kuna taasisi nafanyia kazi kuna kitengo/watu maalumu wa Vetting na Vetting ni swala endelevu.. ukiwa upo kazini vetting inaendelea.
Tusiweke ubinafsi ktk hili swala. interview ifanywe tena ile INTENSIVE hasa.
1- ExperienceInterview kwa daktari ya nini? Nini unachokipima ukimfanyia interview MD wa entry level ?
UDSM sheria ni miaka minne, kwa hoja yako Ina maana wanaograduate sheria UD hawapaswi kufanyiwa interviewWahasibu na wanasheria mnasoma miaka mitatu ndio maana ni muhimu kukaguliwa kaguliwa sana tofauti na madaktari. Madaktari wanapewa leseni ku deal na maisha ya watu, nyie mnapata vyeti kucheza na makaratasi.
Usilinganishe takataka hizo na fani ya udaktari wewe. Sio kitonga jaribu kusoma MD uone. Why ni daktari pekee akimaliza degree yake ya kwanza anapewa hadhi ya PhD or MD?Punguza malalamiko, tuna accredited ICT guys ambao ni approved and certified by international organization, tuna wahasibu pamoja certification zao including CPA but bado wanafanya interview
Concept ya interview ni kupata right candidate for that position. Ni hiyo position inahitaji more than certificates, inahitaji vitu vingi. One way to know kama candidate anavyo ni through interview
Mwanzo mgumu ila baadae mtazoea tu kufanya usailiJust imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.
Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.
Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.
Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.
Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.
Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.
Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?
Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?
Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?
Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?
Wadau
Kwaio daktari inatakiwa awe amefaulu tu ila ata kama ana tabia mbovu fresh au hana customer care, ubinadamu nk. Yeye apewe tu kazi au sioKwenye udaktari suala muhimu ni ufaulu tu na leseni, haya mengine ya interview ni njia ya kupunguza watu kwa sababu ya ufinyu wa ajira.
Na akipata ajira huko Tamisemi ndio dharau za madiwani wa darasa la 7 atazijua vizuriJust imagine kijana kapata division one ya 7 au 10 form four kaenda high school kupiga PCB. Kapambana sana kachakaa kajitesa kajinyima kapata division one form six ya point tatu au tano.
Kaaply Muhimbili University kapitia mchujo katoboa akaanza masomo ya udaktari.
Kasoma miaka mitano bila kudisco tena kwa mateso makubwa bila kula bata mpaka kamaliza chuo.
Kabla hajaingia intern kafanyishwa mtihani wa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA katoboa kaanza interniship.
Kapiga intern kwa mwaka mmoja kisha kamaliza kisha kapigishwa pepa lingine la MCT katoboa.
Kasajiliwa na kutambulika kama MEDICAL DOCTOR na MCT.
Kijana huyu wa kitanzania aliyesoma kwa kujinyima na kujitesa tangu kidato cha kwanza leo hii anafanyishwa interview tena written interview sio prectical interview ili iweje?
Huyu kijana akikosa nafasi mnajua stress atakazopata mtaani na jamii inayomzunguka?
Hiyo michujo yote alopitia akipata ajira mnamlipa milioni moja na laki mbili ukitoa makato anabeba laki tisa bado mnampigisha interview ya nini sasa?
Hamuoni kama mnakatisha tamaa vijana waliopo shuleni na vyuoni?
Wadau
Tabia mbovu kama zipi??Kwaio daktari inatakiwa awe amefaulu tu ila ata kama ana tabia mbovu fresh au hana customer care, ubinadamu nk. Yeye apewe tu kazi au sio
Ww andika upuuzi tuu ila usaili lazima ufanye mkuu 😂Wahasibu na wanasheria mnasoma miaka mitatu ndio maana ni muhimu kukaguliwa kaguliwa sana tofauti na madaktari. Madaktari wanapewa leseni ku deal na maisha ya watu, nyie mnapata vyeti kucheza na makaratasi.
Kwenye udaktari suala muhimu ni ufaulu tu na leseni, haya mengine ya interview ni njia ya kupunguza watu kwa sababu ya ufinyu wa ajira.
Una wazimu wewe ,kwamba undergraduate wa MD anapewa hadhi ya Phd ?Usilinganishe takataka hizo na fani ya udaktari wewe. Sio kitonga jaribu kusoma MD uone. Why ni daktari pekee akimaliza degree yake ya kwanza anapewa hadhi ya PhD or MD?
Hata usome PhD bado hulingani na iyo MD ya dokta bana. Wote tumepita shule tunajua mziki wake jamani,acha tuwaheshimu madaktari
Wakili muhuri wake anaousotea Law School of Tanzania kwa mbinde naye aajiriwe bila interview kwakuwa ana leseni ya uwakili kutoka kwa Jaji Mkuu?Daktari hahitaji usahili, leseni yake ya MCT inatosha.
Mazoea yanatutesa sana🤣Kuna kada tulikua tumezoea kitonga hadi raha, siku nikiambiwa nifanyiwe intavyuu nitaliaaa nitaliaaa nitagalagala chini mimi....