Kumfukuza Malisa, CCM imepuliza ili Iwake, Hoja hujibiwa kwa Hoja , watu Sasa watazidi kuhoji kulikoni?

Kumfukuza Malisa, CCM imepuliza ili Iwake, Hoja hujibiwa kwa Hoja , watu Sasa watazidi kuhoji kulikoni?


Maamuzi ya Mkutano Mkuu hayaruhusiwi kuvunja Katiba ya CCM!

Mkutano Mkuu hauwezi kuamua kuanzia leo mwanachama mwenye asili ya kisomali hawezi kugombea ukatibu, halafu tukasema wakiamua wameamua.

Kuna sheria zinazotawala utoaji maamuzi wa Mkutano Mkuu.

Sheria za Usajili wa Vyama, sheria za nchi, na Katiba yenyewe ya CCM.

Sheria za Nchi zinasema, kabla hujaanza kutumia mabadiliko ya katiba yako lazima Msajili apitishe!

Jakaya Kikwete wakati anatoa maagizo ya nini kifanyike alitamka kwamba HALMASHAURI KUU NENDENI MKAONDOE VIKWAZO VYA KISHERIA HALAFU MRUDI HAPA

Vikwazo gani ??????

Mwenezi Amos Makala akasimama akasema "haya, tunaendelea, meanwhile Alikiba, Zuchu, Mondi na Konde Boy jipangeni pandeni jukwaani wakati tunasubiri."

Wanaopaswa kubadilisha Katiba eti wamewekwa pembeni wakati taratibu zimeenda kuvunjwa pembeni huku tunapumbazwa na wasanii.

Ofisi ya Msajili ilikuwepo mkutanoni naamini - CHADEMA wao walitangaza "tuna ugeni Msajili yumo humu ndani jamani! "

Kwa nini ?

Kwa sababu Msajili yumo kushuhudia unafuataje katiba yako. Huwezi kuivunja kwa kusema nimeibadili leo leo! Ameipitisha kabla hujaitumia ?

Jakaya Kikwete aliposema Halmashauri Kuu nendeni pembeni "mkaondoe vikwazo," wakati Wachafu Media wanatusubirisha, Msajili alipitishwa kufutwa kwa vikwazo ???????
Akiwa nje ya CCM atapata nafasi nzuri ya kuendeleza hizo harakati zake.
 
iMkutano mkuu wa CCM ndo chombo cha mwisho cha maamuzi ndani ya CCM. Huyo kada kuanza kuhoji jambo lililopitishwa na mkutano mkuu ni usaliti na sio mwenzetu. Kufukuzwa ni halali yake.
Ukieleza ni "chombo cha mwisho kimaamuzi" ina maana maamuzi hutolewa baada ya organs nyingine kuanza na hoja na baadaye hiyo kamati kuihitimisha.Kinyume na hapo ni uhuni uliokomaa na kuota mvi.
 
Kikweli demokrasia ndani ya CCM hakuna, ukifuatilia hata uteuzi wa majuzi ni magumashi.
 
Maamuzi ya Mkutano Mkuu hayaruhusiwi kuvunja Katiba ya CCM!

Mkutano Mkuu hauwezi kuamua kuanzia leo mwanachama mwenye asili ya kisomali hawezi kugombea ukatibu, halafu tukasema wakiamua wameamua.

Kuna sheria zinazotawala utoaji maamuzi wa Mkutano Mkuu.

Sheria za Usajili wa Vyama, sheria za nchi, na Katiba yenyewe ya CCM.

Sheria za Nchi zinasema, kabla hujaanza kutumia mabadiliko ya katiba yako lazima Msajili apitishe!

Jakaya Kikwete wakati anatoa maagizo ya nini kifanyike alitamka kwamba HALMASHAURI KUU NENDENI MKAONDOE VIKWAZO VYA KISHERIA HALAFU MRUDI HAPA

Vikwazo gani ??????

Mwenezi Amos Makala akasimama akasema "haya, tunaendelea, meanwhile Alikiba, Zuchu, Mondi na Konde Boy jipangeni pandeni jukwaani wakati tunasubiri."

Wanaopaswa kubadilisha Katiba eti wamewekwa pembeni wakati taratibu zimeenda kuvunjwa pembeni huku tunapumbazwa na wasanii.

Ofisi ya Msajili ilikuwepo mkutanoni naamini - CHADEMA wao walitangaza "tuna ugeni Msajili yumo humu ndani jamani! "

Kwa nini ?


Kwa sababu Msajili yumo kushuhudia unafuataje katiba yako. Huwezi kuivunja kwa kusema nimeibadili leo leo! Ameipitisha kabla hujaitumia ?

Jakaya Kikwete aliposema Halmashauri Kuu nendeni pembeni "mkaondoe vikwazo," wakati Wachafu Media wanatusubirisha, Msajili alipitishwa kufutwa kwa vikwazo ???????
CCM ni kusanyiko la watu wajinga sn
 
Kuna vitu maamuzi yake huhitaji Hoja, yaan anasimama MTU makini anaelezea Kwa hoja !.

Sasa kumfukuza MTU namna hii, maana yake ni kuifanya habari iwe kuuuuuubwa , embu fikiria vyombo habari vireport " CCM yamfukuza aliyepinga kuvunjwa Kwa Katiba wakati wa zoezi za kuchagua Mgombea Urais'.

Habari kama hii Inakua Kubwa, inaamsha Hisia hata za waliolala , wanatambua kumbe Kuna uvunjifu wa Katiba uliofanyika?. Nao wao wanataman kujua ,wanafatilia zaidi na zaidi !!.

Maamuzi ya Busara ilikua ni Ama Kumpuuza, yaan Asijibiwe , au kumjibu tu Kwa hoja ili kuendelea kutoa sababu za kuhalalisha uhalali wa maamuzi ya Dodoma.

Sasa njia fupi ,Kwa mawazo mafupi , imekua ni Kusitisha Waandishi wa habari na kumfukuza Kwa kosa la Usaliti.

Khaaa yaan MTU kuhoji, ndio Usaliti?.

Kweli Kenge hasikii mpaka Damu imtoke masikioni.
hii ndiyo imeisha ukiisikia ten baada ya miezi mitatu uje unidai laki moja imeisha hiyoooo
 
CCM wameyakanyaga wanadhani kilA kitu ni ubabe "its only when a mosquito lands on your balls you will realize there are ways of solving problems without violence"
huyo hata hana ushawishi wa majority nani atamsikiliza akiwa nje ya uwanja? na akizidi kuleta za kuleta mbowe bado yupo mjuwe atamchachawangwe
 
Kuna vitu maamuzi yake huhitaji Hoja, yaan anasimama MTU makini anaelezea Kwa hoja !.

Sasa kumfukuza MTU namna hii, maana yake ni kuifanya habari iwe kuuuuuubwa , embu fikiria vyombo habari vireport " CCM yamfukuza aliyepinga kuvunjwa Kwa Katiba wakati wa zoezi za kuchagua Mgombea Urais'.

Habari kama hii Inakua Kubwa, inaamsha Hisia hata za waliolala , wanatambua kumbe Kuna uvunjifu wa Katiba uliofanyika?. Nao wao wanataman kujua ,wanafatilia zaidi na zaidi !!.

Maamuzi ya Busara ilikua ni Ama Kumpuuza, yaan Asijibiwe , au kumjibu tu Kwa hoja ili kuendelea kutoa sababu za kuhalalisha uhalali wa maamuzi ya Dodoma.

Sasa njia fupi ,Kwa mawazo mafupi , imekua ni Kusitisha Waandishi wa habari na kumfukuza Kwa kosa la Usaliti.

Khaaa yaan MTU kuhoji, ndio Usaliti?.

Kweli Kenge hasikii mpaka Damu imtoke masikioni.
Anakaribishwa CHADEMA

📣Peoples

📌📌
 
Back
Top Bottom