Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Washabikiwa Simba akili zenu sijui ziko wapi? Yan nyie ndio waamini uchawi, mkifungwa mnaaamini mmefanyiwa figisu. Yan tafrani ndio mnadharaulika kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee 🤣Rage apewe maua yake asee
Yameacha historia kubwa. ..Poleni sana mashabiki wa simba kwa maumivu mnayopitia. Na haya nayo ni mapito tu. Yatapita.
Arsenal amewahi pigwa 8 Old Trafford, Madrid aliwahi kupigwa 6 Bernabeu.Mawazo kama haya ndio yanafanya timu yetu isifanye vizuri.
Mbona hao Yanga wakifungwa wanatafuta tatizo lilipo na kurekebisha? Sisi badala ya kutafuta tatizo TUNATENGENEZA tatizo.
Yanga iliyo bora kabisa imefungwa na Ihefu, kwa nini simba ikufungwa na Yanga ndio kila kitu kionekane kibovu?
Inamaana mnataka kutuaminisha kuwa, Simba ni timu teule Duniani ambayo haitegemei Kufungwa?
Ulaya kwenye Ligi bora ulimwenguni mtu anakula bao Saba sembuse ligi yetu changa?
Ukiangalia Simba wanavyocheza na yanga, lazima ujue kwamba goli nyingi zitakuwepo,hasa Simba akitanguliwa, sababu alienda kutafuta goli,nyuma panabaki wazi sanaToka asubuhi kuna wachambuzi wanadai kuna dalili ya goli nyingi leo. Farhan na yule mzee wa jambia walisema hili.
Ni kama kuna mambo ya ndani waliyajua.
Unajitafutia maradhi bure. Mpira umeisha tumefungwa tufanye marejeo tumekosea wapi tusirudie makosa tusonge mbele. Hakuna namna unaweza reverse matokeo.Jana nimekaa kilingeni na kuuliza mizimu ya babu wangu mzee Makunganya pale Kisarawe kama matokeo ya jana yalikuwa ya kimchezo kweli au mpira wetu unaelekea shimoni.
Kiukweli aliyonieleza na hata mm mwenyewe akili imekataa na haikubali kama Simba anaweza kufa mkono na Yanga. Mizimu inatoboa ukweli kuwa mkakati wa kuihujumu Simba ulipangwa uwe mchezo wa jana kwa sababu wahujumu waliamini kuwa ndiyo mchezo ambao wengi wataumia na utaleta mvurugano ndani ya timu.
Walipanga mipango bila viongozi kujua, waliwaeleza watu wa maadui zetu namna wanavoweza kuwasaidia kuimaliza Simba, mipango yao nje na ndani na kila kitu, hadi Rais wao akaenda kupanda mlima kilimanjaro ili kuishusha bendera na kibegi cha Simba wakaweka cha kwao, masharti yote aliyopewa injinia aliyafanya.
Watu wamechukua fedha za kutosha jana, Ali mradi tu mfadhili aachie timu, mwenyekiti aondolewe basi iwe tafrani tu na kwa sababu viongozi wetu wanapuuza taarifa zetu, wanatuona hatuna akili wao ndio wenye akili sana basi tumekaa tunawacheki tu.
Jana wengi hatukupata usingizi, yaani nimeshindwa kuelewa jana saa 8 tu usingizi umekata, kila nikiweka mawazo pengine mkono unanijia usoni.Usaliti ndani ya timu utaendelea mwanzo mwisho kwa sababu viongozi hawawekezi ktk kupata taaarifa, hawana watu wa mpira, jana hirizi zinawekwa laivu pale uwanjani na akina Moloko lakini nobody cares, watu wamefunguliwa geti lingine la kuingilia nobody cares.Nyie linganisheni doti tu, ceo wa zamani akadai Simba na mvua ni kama TMA halafu akacheeeeka kumbe alikuwa na maana yake na pale ndipo nilipogundua kuwa mambo hayatakuwa mazuri, asbh nilikuwa nimeandaa flame nyekundu, skafu nyekundu na kofta nyekundu lkn ilipofika saa 10 akili ilikataa kwenda uwanjani, sikuzivaa na nikaenda kuchek mtaani.Mizimu yake ilifanya kazi jana.
Ila no way, Al Qisas Haqu.
Walienda kukimbiza mwizi wakasahau mlango waziUkiangalia Simba wanavyocheza na yanga, lazima ujue kwamba goli nyingi zitakuwepo,hasa Simba akitanguliwa, sababu alienda kutafuta goli,nyuma panabaki wazi sana
Mngemsikiliza hata Mwina seif Kaduguda Simba wa Yuda 😀😀Jana nimekaa kilingeni na kuuliza mizimu ya babu wangu mzee Makunganya pale Kisarawe kama matokeo ya jana yalikuwa ya kimchezo kweli au mpira wetu unaelekea shimoni.
Kiukweli aliyonieleza na hata mm mwenyewe akili imekataa na haikubali kama Simba anaweza kufa mkono na Yanga. Mizimu inatoboa ukweli kuwa mkakati wa kuihujumu Simba ulipangwa uwe mchezo wa jana kwa sababu wahujumu waliamini kuwa ndiyo mchezo ambao wengi wataumia na utaleta mvurugano ndani ya timu.
Walipanga mipango bila viongozi kujua, waliwaeleza watu wa maadui zetu namna wanavoweza kuwasaidia kuimaliza Simba, mipango yao nje na ndani na kila kitu, hadi Rais wao akaenda kupanda mlima kilimanjaro ili kuishusha bendera na kibegi cha Simba wakaweka cha kwao, masharti yote aliyopewa injinia aliyafanya.
Watu wamechukua fedha za kutosha jana, Ali mradi tu mfadhili aachie timu, mwenyekiti aondolewe basi iwe tafrani tu na kwa sababu viongozi wetu wanapuuza taarifa zetu, wanatuona hatuna akili wao ndio wenye akili sana basi tumekaa tunawacheki tu.
Jana wengi hatukupata usingizi, yaani nimeshindwa kuelewa jana saa 8 tu usingizi umekata, kila nikiweka mawazo pengine mkono unanijia usoni.Usaliti ndani ya timu utaendelea mwanzo mwisho kwa sababu viongozi hawawekezi ktk kupata taaarifa, hawana watu wa mpira, jana hirizi zinawekwa laivu pale uwanjani na akina Moloko lakini nobody cares, watu wamefunguliwa geti lingine la kuingilia nobody cares.Nyie linganisheni doti tu, ceo wa zamani akadai Simba na mvua ni kama TMA halafu akacheeeeka kumbe alikuwa na maana yake na pale ndipo nilipogundua kuwa mambo hayatakuwa mazuri, asbh nilikuwa nimeandaa flame nyekundu, skafu nyekundu na kofta nyekundu lkn ilipofika saa 10 akili ilikataa kwenda uwanjani, sikuzivaa na nikaenda kuchek mtaani.Mizimu yake ilifanya kazi jana.
Ila no way, Al Qisas Haqu.
Mwiko wa Yanga utawsumbua sana watani zetuJana nimekaa kilingeni na kuuliza mizimu ya babu wangu mzee Makunganya pale Kisarawe kama matokeo ya jana yalikuwa ya kimchezo kweli au mpira wetu unaelekea shimoni.
Kiukweli aliyonieleza na hata mm mwenyewe akili imekataa na haikubali kama Simba anaweza kufa mkono na Yanga. Mizimu inatoboa ukweli kuwa mkakati wa kuihujumu Simba ulipangwa uwe mchezo wa jana kwa sababu wahujumu waliamini kuwa ndiyo mchezo ambao wengi wataumia na utaleta mvurugano ndani ya timu.
Walipanga mipango bila viongozi kujua, waliwaeleza watu wa maadui zetu namna wanavoweza kuwasaidia kuimaliza Simba, mipango yao nje na ndani na kila kitu, hadi Rais wao akaenda kupanda mlima kilimanjaro ili kuishusha bendera na kibegi cha Simba wakaweka cha kwao, masharti yote aliyopewa injinia aliyafanya.
Watu wamechukua fedha za kutosha jana, Ali mradi tu mfadhili aachie timu, mwenyekiti aondolewe basi iwe tafrani tu na kwa sababu viongozi wetu wanapuuza taarifa zetu, wanatuona hatuna akili wao ndio wenye akili sana basi tumekaa tunawacheki tu.
Jana wengi hatukupata usingizi, yaani nimeshindwa kuelewa jana saa 8 tu usingizi umekata, kila nikiweka mawazo pengine mkono unanijia usoni.Usaliti ndani ya timu utaendelea mwanzo mwisho kwa sababu viongozi hawawekezi ktk kupata taaarifa, hawana watu wa mpira, jana hirizi zinawekwa laivu pale uwanjani na akina Moloko lakini nobody cares, watu wamefunguliwa geti lingine la kuingilia nobody cares.Nyie linganisheni doti tu, ceo wa zamani akadai Simba na mvua ni kama TMA halafu akacheeeeka kumbe alikuwa na maana yake na pale ndipo nilipogundua kuwa mambo hayatakuwa mazuri, asbh nilikuwa nimeandaa flame nyekundu, skafu nyekundu na kofta nyekundu lkn ilipofika saa 10 akili ilikataa kwenda uwanjani, sikuzivaa na nikaenda kuchek mtaani.Mizimu yake ilifanya kazi jana.
Ila no way, Al Qisas Haqu.
Tatizo ni timu kuvuja hata ikicheza na timu ndogo ndogo, power dynamo nusu ikutoe mashindanoni, katika michezo iliyocheza imeambulia clean sheet mbili tu halafu unaenda kukutana na Yanga iliyokuwa inaongoza kwa kufunga magoli mengi ligi kuu. Mmefumbazika na zile sare sare za Al Ahly mkajiona mko level ya juu sana lakini hamkutaka kufikiria kuwa Al Ahly wangekuwa makini kwa makosa yanayofanyika hali ingekuaje. Al Ahly hawakuweza tu kuzitumia nafasi walizotengeneza tu basi.Toka asubuhi kuna wachambuzi wanadai kuna dalili ya goli nyingi leo. Farhan na yule mzee wa jambia walisema hili.
Ni kama kuna mambo ya ndani waliyajua.
Hakuna kikosi cha kuuifunga yanga pale. Mlichukua ngap ya jamii lakin cha moto mlikiona, mana ile siku mlifunuliwa mbili za chapchap. Uchawi ukazigeuza kuwa ofside mkapona.Toka asubuhi kuna wachambuzi wanadai kuna dalili ya goli nyingi leo. Farhan na yule mzee wa jambia walisema hili.
Ni kama kuna mambo ya ndani waliyajua.
Yanga huwa wanacheza na timu mbovu mmekuwa mnasema wenyeweJana nimekaa kilingeni na kuuliza mizimu ya babu wangu mzee Makunganya pale Kisarawe kama matokeo ya jana yalikuwa ya kimchezo kweli au mpira wetu unaelekea shimoni.
Kiukweli aliyonieleza na hata mm mwenyewe akili imekataa na haikubali kama Simba anaweza kufa mkono na Yanga. Mizimu inatoboa ukweli kuwa mkakati wa kuihujumu Simba ulipangwa uwe mchezo wa jana kwa sababu wahujumu waliamini kuwa ndiyo mchezo ambao wengi wataumia na utaleta mvurugano ndani ya timu.
Walipanga mipango bila viongozi kujua, waliwaeleza watu wa maadui zetu namna wanavoweza kuwasaidia kuimaliza Simba, mipango yao nje na ndani na kila kitu, hadi Rais wao akaenda kupanda mlima kilimanjaro ili kuishusha bendera na kibegi cha Simba wakaweka cha kwao, masharti yote aliyopewa injinia aliyafanya.
Watu wamechukua fedha za kutosha jana, Ali mradi tu mfadhili aachie timu, mwenyekiti aondolewe basi iwe tafrani tu na kwa sababu viongozi wetu wanapuuza taarifa zetu, wanatuona hatuna akili wao ndio wenye akili sana basi tumekaa tunawacheki tu.
Jana wengi hatukupata usingizi, yaani nimeshindwa kuelewa jana saa 8 tu usingizi umekata, kila nikiweka mawazo pengine mkono unanijia usoni.Usaliti ndani ya timu utaendelea mwanzo mwisho kwa sababu viongozi hawawekezi ktk kupata taaarifa, hawana watu wa mpira, jana hirizi zinawekwa laivu pale uwanjani na akina Moloko lakini nobody cares, watu wamefunguliwa geti lingine la kuingilia nobody cares.Nyie linganisheni doti tu, ceo wa zamani akadai Simba na mvua ni kama TMA halafu akacheeeeka kumbe alikuwa na maana yake na pale ndipo nilipogundua kuwa mambo hayatakuwa mazuri, asbh nilikuwa nimeandaa flame nyekundu, skafu nyekundu na kofta nyekundu lkn ilipofika saa 10 akili ilikataa kwenda uwanjani, sikuzivaa na nikaenda kuchek mtaani.Mizimu yake ilifanya kazi jana.
Ila no way, Al Qisas Haqu.
yanga kubwa sana,yaaani inaweza honga timu yoyote mradi tu wapate kushinda!!!Jana nimekaa kilingeni na kuuliza mizimu ya babu wangu mzee Makunganya pale Kisarawe kama matokeo ya jana yalikuwa ya kimchezo kweli au mpira wetu unaelekea shimoni.
Kiukweli aliyonieleza na hata mm mwenyewe akili imekataa na haikubali kama Simba anaweza kufa mkono na Yanga. Mizimu inatoboa ukweli kuwa mkakati wa kuihujumu Simba ulipangwa uwe mchezo wa jana kwa sababu wahujumu waliamini kuwa ndiyo mchezo ambao wengi wataumia na utaleta mvurugano ndani ya timu.
Walipanga mipango bila viongozi kujua, waliwaeleza watu wa maadui zetu namna wanavoweza kuwasaidia kuimaliza Simba, mipango yao nje na ndani na kila kitu, hadi Rais wao akaenda kupanda mlima kilimanjaro ili kuishusha bendera na kibegi cha Simba wakaweka cha kwao, masharti yote aliyopewa injinia aliyafanya.
Watu wamechukua fedha za kutosha jana, Ali mradi tu mfadhili aachie timu, mwenyekiti aondolewe basi iwe tafrani tu na kwa sababu viongozi wetu wanapuuza taarifa zetu, wanatuona hatuna akili wao ndio wenye akili sana basi tumekaa tunawacheki tu.
Jana wengi hatukupata usingizi, yaani nimeshindwa kuelewa jana saa 8 tu usingizi umekata, kila nikiweka mawazo pengine mkono unanijia usoni.Usaliti ndani ya timu utaendelea mwanzo mwisho kwa sababu viongozi hawawekezi ktk kupata taaarifa, hawana watu wa mpira, jana hirizi zinawekwa laivu pale uwanjani na akina Moloko lakini nobody cares, watu wamefunguliwa geti lingine la kuingilia nobody cares.Nyie linganisheni doti tu, ceo wa zamani akadai Simba na mvua ni kama TMA halafu akacheeeeka kumbe alikuwa na maana yake na pale ndipo nilipogundua kuwa mambo hayatakuwa mazuri, asbh nilikuwa nimeandaa flame nyekundu, skafu nyekundu na kofta nyekundu lkn ilipofika saa 10 akili ilikataa kwenda uwanjani, sikuzivaa na nikaenda kuchek mtaani.Mizimu yake ilifanya kazi jana.
Ila no way, Al Qisas Haqu.