Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Polepole ni mzuri kwenye kufundisha watu hususani kwenye maeneo ya uingozi na sheria,na spika amethibitisha baada ya kufuatilia kipindi chake cha shule ya uongozi.kwa hiyo spika ameona ampeleka huko akawafundishe wabunge
Mbona kama kejeli
 
Support, hapa umeongea point sana tena sana. Chato kwao ilikuwa MUNGU, hivyo kusafisha kaburi la MUNGU wao ni sawa kabisa
Kumbe wewe mbw bado upo nilifikiri ulishakufa na Uviko 19? Hahahahaha...
 
Ilitakiwa avuliwe hata huo ubunge wenyewe halafu wangempa kazi ya kulinda na kusafisha kaburi la hayati kule Chato.
Tatizo vidampa mnaisahau nafasi yenu hapa nchini, Polepole hata akihamishwa idara moja kwenda nyingine bado ataendela kuwa kwenye system ya kukuongoza wewe kwa namna yoyote ile, tofauti na wewe ambae mpaka unakufa utakuwa unasubiria kuamriwa uishi namna gani kwenye hii nchi.

Sioni sababu ya masikini yeyote kama wewe kushangilia hapa.
 
Reactions: nao
Labda akuongoze na ndugu zako.
 
Punguza chuki za kijinga kima wewe! Ukiona huoni cha kuchangia/kuleta hoja piga kimya!.Jf sikuizi imekua na watu wajinga wajinga sana!
Unajua zamani jf ilijulikana kwa watu wasomi na wenye hoja chanya sana ila ss du wamejaa waropokaji mpka kero vi simu janja vya infinix ndio vimefanya kujaaa na waropokaji hovyo
 
Mzee wa veeti Acha aisome namba hakujua kuwa madarak ni ya muda jamaa alivimba sana enz hz
 
Unajua zamani jf ilijulikana kwa watu wasomi na wenye hoja chanya sana ila ss du wamejaa waropokaji mpka kero vi simu janja vya infinix ndio vimefanya kujaaa na waropokaji hovyo
Kama unaona hapakufai basi hamia ulikozoea fb
 
Nimetia mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka sasa wanakimbizana[emoji23][emoji23][emoji23].
Na wengi hapo watatoka wameshajivua ngozi maana mafuta ya taa haya muwachi nyoka salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…