Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Ameanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
Kwani kukinzana mawazo imeshakuwa jinai? Maana miaka michache iliyopita wengi wenu walipigania uhuru wa mawazo. Watu waruhusiwe watoe mawazo yao. Mbona leo mmegeuka? Uhuru wa maoni ni pamoja na kukubali kusikia yale usiyopenda kusikia. Ni pamoja na wale wanaopinga chanjo kukubali kusikia wale wanaoikubali, na wale wanaoikubali kukubali kusikia wale wanaoipinga. Sio Jinai.

By the way wengi mnaopenda chanjo naona mtu akikataa mnasema mbona dawa so and so anatumia? Well ni maamuzi ya mtu. Kuna watu hawatumii dawa fulani na wanazipinga. Lakini zingine wanatumia. Bob Marley alikataa kukatwa mguu ili kuponya kansa. Lakini alikuwa anatumia Mic za wazungu na magitaa yao kuimba na kupiga muziki.

Kila mtu aachwe aseme anachokiamini. Nje ya hapo ni udikteta tu!
 
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Yule mzee mwenye umri tatanishi ambaye hukata mangoma ndani ya ikulu enzi zile za mwendazake? alijuwa Ikulu ni nyumbani sasa kwenye kamati za bunge hatoshi
 
Polepole ni mzuri kwenye kufundisha watu hususani kwenye maeneo ya uingozi na sheria,na spika amethibitisha baada ya kufuatilia kipindi chake cha shule ya uongozi.kwa hiyo spika ameona ampeleka huko akawafundishe wabunge
 
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Ni matokeo ya Taratibu kupinga chanjo ya UVIKO 19, hii kamati ndio yenye ushawishi wa moja kwa moja kwa wananchi sasa taratibu ameonekana ni hatari akiwa kwenye hiyo kamati kwani kwa kuipinga hiyo chanjo inaonekana ni kama anatumia hiyo kamati vibaya. Ndugai nae ni kama bendera fuata upepo.
 
Kati ya watu wanao jutia kifo cha mwenda zake ni pamoja na Polepole
Tupo wengi tunaojutia kifo Cha JPM, kila msiba una wenyewe, na si dhambi kujutia kifo Cha mwamba wetu, kwani we hujawahi kufiwa?
 
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .

Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Lengo kumng'oa UENYEKITI aisee CCM Kwa Roho mbaya
 
Kwani kukinzana mawazo imeshakuwa jinai? Maana miaka michache iliyopita wengi wenu walipigania uhuru wa mawazo. Watu waruhusiwe watoe mawazo yao. Mbona leo mmegeuka? Uhuru wa maoni ni pamoja na kukubali kusikia yale usiyopenda kusikia. Ni pamoja na wale wanaopinga chanjo kukubali kusikia wale wanaoikubali, na wale wanaoikubali kukubali kusikia wale wanaoipinga. Sio Jinai.

By the way wengi mnaopenda chanjo naona mtu akikataa mnasema mbona dawa so and so anatumia? Well ni maamuzi ya mtu. Kuna watu hawatumii dawa fulani na wanazipinga. Lakini zingine wanatumia. Bob Marley alikataa kukatwa mguu ili kuponya kansa. Lakini alikuwa anatumia Mic za wazungu na magitaa yao kuimba na kupiga muziki.

Kila mtu aachwe aseme anachokiamini. Nje ya hapo ni udikteta tu!
Mi naona humu ndani tuchague kamati ya magenious ili wewe uwe mwenyekiti wao

Kiukweli watu wanapigania Uhuru wa mawazo kwa maslahi yao, si kwa maslahi ya watu wote
 
MAMBO yamekuwa MAMBO Najiuliza LENGO HASA la haya MABADILIKO ya Wajumbe wa KAMATI ni Kuleta UFANISI wa KAMATI Au
KUMNG'OA POLEPOLE Uenyekiti wa KAMATI? Maana Kwa SIASA za TANGANYIKA linawezekana
 
Ilitakiwa avuliwe hata huo ubunge wenyewe halafu wangempa kazi ya akulinda na kusafisha kaburi la hayati kule Chato.
Kati ya Ndugai na Polepole tupo anastahili kuondolewa kwenye nafasi aliopo( Ndugai alishadadia CAG kuondolewa baadae anasikika akisema Raid alishauriwa vibaya, Wakati Wabunge wa Chadema walipogoma kuingia bungeni kisa korona(2020) Ndugai alisikika akiwabeza! Polepole anasimamia like anachokiamini
 
Mi naona humu ndani tuchague kamati ya magenious ili wewe uwe mwenyekiti wao

Kiukweli watu wanapigania Uhuru wa mawazo kwa maslahi yao, si kwa maslahi ya watu wote
Sina ujiniazi wowote. Ni kutumia akili za kawaida tu ambazo kila mmoja anazo!
 
Back
Top Bottom