Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Kumhamisha Mbunge Humphrey Polepole kutoka Kamati ya kudumu ya Utawala bora na Serikali za Mitaa kumelenga nini?

Unasisitiza kuwa hatujuani lakini bado unasema una "uhakika" kuwa sina umri wa kukuita wewe kijana?

Basi sawa mzee mwenzangu.
Nakuona ni mtu unayeangaika tu,Nikwambie tu unaweza kusema lolote lakini kwangu haibadili chochote kwamba yule mbwa mnaye jaribu kumsafisha hasafishiki alikuwa ni kiongozi wa ovyo kuwahi kutokea.
 
Mabadiliko ya wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge kila baada ya nusu awamu ni jambo la kawaida.
 
MAMBO yamekuwa MAMBO Najiuliza LENGO HASA la haya MABADILIKO ya Wajumbe wa KAMATI ni Kuleta UFANISI wa KAMATI Au
KUMNG'OA POLEPOLE Uenyekiti wa KAMATI? Maana Kwa SIASA za TANGANYIKA linawezekana
Ili akatoe darasa la uongozi kwingineko
 
Kwani Spika ana madaraka kuchagua mwenyekiti wa Kamati?

Mwenyekiti wa Kamati anachaguliwa na wajumbe siyo Job
Hii nchi kuna ambacho spika hawezi? Kama mbunge anahama chama chake na kwenda kingine au mbunge anafukuzwa uanachama wa chama chake na bado anabakia bungeni, kinyume kabisa na katiba ya nchi, na hafanywi chochote, atashindwa kweli hilo?
 
Waliosafiria nyota ya baba yao yamekumbwa na giza nene...... wote tuseme .. amina.
Hao watu wanateseka sana sasa hivi na muda wote wamefura kwa hasira tungekuwa tunaonana humu sijui ingekuwaje!
 
Punguza chuki za kijinga kima wewe! Ukiona huoni cha kuchangia/kuleta hoja piga kimya!.Jf sikuizi imekua na watu wajinga wajinga sana!
Na wewe hasira utadhani umeporwa demu/bwana??? Utajipa BP ya bure kwa hizi jokes za mtandaoni, take it easy [emoji12][emoji12][emoji12]
 
CCM ukiwa mtu wa kutumia akili yako hata kama unayosema ni ujinga lazima washughulike na wewe. Nguvu ya kuhakikisha wanabaki madarakani sio kwa Chadema tu hata wao kwa wao wanadundana kinoma
 
Kwani kukinzana mawazo imeshakuwa jinai? Maana miaka michache iliyopita wengi wenu walipigania uhuru wa mawazo. Watu waruhusiwe watoe mawazo yao. Mbona leo mmegeuka? Uhuru wa maoni ni pamoja na kukubali kusikia yale usiyopenda kusikia. Ni pamoja na wale wanaopinga chanjo kukubali kusikia wale wanaoikubali, na wale wanaoikubali kukubali kusikia wale wanaoipinga. Sio Jinai.

By the way wengi mnaopenda chanjo naona mtu akikataa mnasema mbona dawa so and so anatumia? Well ni maamuzi ya mtu. Kuna watu hawatumii dawa fulani na wanazipinga. Lakini zingine wanatumia. Bob Marley alikataa kukatwa mguu ili kuponya kansa. Lakini alikuwa anatumia Mic za wazungu na magitaa yao kuimba na kupiga muziki.

Kila mtu aachwe aseme anachokiamini. Nje ya hapo ni udikteta tu!
Huwezi kuachiwa useme upuuzi na ujinga, baki nao huko chumbani na mkeo... Huku nje ukija unakula vitasa tuu kama huyo lofa Polepole...
 
Waliosafiria nyota ya baba yao yamekumbwa na giza nene...... wote tuseme .. amina.
Hao ni kwamba mwendo wameumaliza duniani.

Asavali hata Dr Bashiru ana chembe ya busara ya kukaa kimya, kuliko huyu nguchiro sikoseli Polepole.
 
Hao ni kwamba mwendo wameumaliza duniani.

Asavali hata Dr Bashiru ana chembe ya busara ya kukaa kimya, kuliko huyu nguchiro sikoseli Polepole.
Dr Bashiru amechagua kukaa kimya ili watu wamsahau
 
CCM ukiwa mtu wa kutumia akili yako hata kama unayosema ni ujinga lazima washughulike na wewe. Nguvu ya kuhakikisha wanabaki madarakani sio kwa Chadema tu hata wao kwa wao wanadundana kinoma
Wacha watoane macho na nasikia wengi wao wanaamini masangoma ili wabakie madarakani.
 
Back
Top Bottom