Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Mzee Wala kijana, pengine kijaniHuyo ni msukuma
Hizo tunaita akili mufilisi.Wacha watoane macho na nasikia wengi wao wanaamini masangoma ili wabakie madarakani.
Sawa chawa wa ufipa.Nashukuru kwa kulielewa hilo
Corona inatibikaSawa chawa wa ufipa.
Kwa roho yako sidhani hata kama hata mama yako unampendaIlitakiwa avuliwe hata huo ubunge wenyewe halafu wangempa kazi ya kulinda na kusafisha kaburi la hayati kule Chato.
Inahusiana vipi na kumkosoa huyo mungu wenu.?Kwa roho yako sidhani hata kama hata mama yako unampenda
Kama magufuli tu. Unashangaa nn wakati mmeshazoea kusifia waropokaji kama lile fedhuli???Mbona unaropoka ropoka, vipi?
Napendekeza kamati aliyotoka apelekwe Mtambuka. Ataimudu vyema. 😁Sawa chawa wa ufipa.
Polepole anajua ukweli! Team yote inatakiwa itoke ya mwenda zake, hao akina na Chamliho,kalemani na wote waliokuwa karibu inatakiwa watoke ila saizi kale kakikundi kamejadili kakaona ili kupoza upepo tuwaweke kwenye kamati unafiki tu! Itoeni timu yote ya mwendazake maana ndo lengo watoke wote hao bado ila nawahakikishia Mungu atawajibu kwa mapigo saba!Polepole maneno yalikuwa meneno yalikuwa mengi sana
Sawa. Ila siku akishika hatamu anayeona unachosema au kuwaza ni upuuzi usianze kulia lia!Huwezi kuachiwa useme upuuzi na ujinga, baki nao huko chumbani na mkeo... Huku nje ukija unakula vitasa tuu kama huyo lofa Polepole...
Haitibiki.Corona inatibika
Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .
Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Kwani lazima awe mwenyekiti?Ya kawaida kwa mawaziri walioenguliwa wapingiwe kamati lakini sio kwa mwenyekiti wa Kamati kuondolewa kwenye kamati yake akawe mjumbe wa kawaida kwenye kamati nyingine.
Ameanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
Safi sana mkuu mtoa mada mke wa mbowe katoa kishabiki akitegemea negative ideasYanalenga kuboresha utendaji katika kamati. Pia Wahe. Wabunge, mtakumbuka kwamba Mh. Polepole ni mzoefu katika masuala ya sera na kutunga Sheria, uzoefu alioupata katika Tume ya Katiba, na pia ni mwalimu mzuri tu eeehsasa uzoefu huo ukatusaidie huko kwenye by-laws