kumhusisha diamond kwa ajali ya Darasa ni upunguwani

kumhusisha diamond kwa ajali ya Darasa ni upunguwani

Mbona Povu tena.

Acha maneno weka MUZIKI......
 
Halafu nilichogundua watu wanapenda mipasho ndio maana ule wimbo ukapendwa sana
na cha kuongezea umependwa baada ya kuhusisha elements flani hivi zinazomgusa diamond kwa namna moja au nyengine,maana huo ndo mgongo wao wa kutokea kwa sasa....Mungu aendelee kumpa umri mrefu diamond ili azidi kuwanufaisha watu wengine kupitia uwepo wake.
 
Kwani hao si haohao wenye kulalamikia serikali kwa kila jambo na kuombeana mabaya kwa sababu ya mambo ya kisiasa,sasa kina washangaza nini Leo kumtuhumu Diamond kwa hiyo ajali?
 
Kila kitu domo, mnampa kiki bila kujua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mziki mzima umejaa vijembe
mwanzo mwisho
..
halafu sasa anachokiimba na yeye pia kinamkuta..
kashaanza bla bla kibao kwamba ajali sio ya kawaida!! halafu hajioni kwamba kaota mapembe watu wamemwongezea mkia!!

anasema hana maneno ya kwenye khanga wakatimziki wote umejaa vijembe
Asante kwa kuandika lyrics za huu wimbo,inaonekana kiasi gani wimbo umekubamba
 
You are one who bring it up! Mpaka unaanzisha huu uzi hukuwaza kuwa ndio unazidi kusambaza habari ambazo unajua ni za uongo?? Me ni shabiki wa dai sikujua mpaka nilivyosoma hapa.
 
Baada a kupatikana kwa taarifa kuwa darasa amepata ajali akiwa katika moja safari zake, asilimia kubwa(si kubwa sana lakini inavuka nusu yao) wamemhusisha diamond na tukio la ajali daresa.

Hivi ajali yaa msanii ni ushirikina?

Kuna wasanii wangapi waliopoteza maisha yo kwa ajali...kwa nini ya darasa ihusihwe na ushirikina

Huenda labda wachangiaji wanafanya kwa utani,,kama ni hivyo tuangalie na vitu vya kutania basi,
na ni kwa nini awe diamond na sio mtu mwingine!

kwa nini msiseme kuwa ali kiba amehusika kwa kuwa darasa amechukua nafasi yake ya kupambanishwa na domo!

watanzania tuwe na staha na hakiba ya maneno

na nimeona kuwa ikitikea darasa akashuka kwa kushindwa kuweka
mipango yake vizuri, watu watamhusisha domo.

ushabiki usitutoe akili

tusiwajengee roho ya kuchukiana wao kwa wao

pole yao na tunashukuru wametoka wazima.
Amen RA
 
Back
Top Bottom