Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
1. Manzese enzi hizo ikijulikana kama mji wa Soweto, tabia zote za kishenzi za wizi, uporaji na umalaya katika maeneo ya uwanja wa fisi, rambo bar n.k.
2. Tandale iliogopeka kwa tabia za ukabaji, uporaji lakini pia ushenzi.
3. Mwananyamala kisiwani kwa kopa.
4. Mburahati madoto hadi festini.
5. Keko magurumbasi mpaka Mwanga.
6. Kigogo.
7. Tandika.
8. Temeke Mikoroshini.
9.kariakoo mchikichini hadi jagwani
10.magomeni mapipa hadi mwembechai
2. Tandale iliogopeka kwa tabia za ukabaji, uporaji lakini pia ushenzi.
3. Mwananyamala kisiwani kwa kopa.
4. Mburahati madoto hadi festini.
5. Keko magurumbasi mpaka Mwanga.
6. Kigogo.
7. Tandika.
8. Temeke Mikoroshini.
9.kariakoo mchikichini hadi jagwani
10.magomeni mapipa hadi mwembechai