Hahaha kabisaaaKuna tajiri mmoja hapo Kawe sasa hivi ni marehemu alikuwa mfanya kazi kwenye taasisi kubwa nchini alinunua magari meusi si chini ya kumi na kuwagawia aki na dada. Walikuwa wanaingia kwa shift anayegongwa anaondoka unaona gari lingine na kadada kengine kanaingia.
Hii nayo si ilikuwa tabia ya kishenzi?
Kigamboni sijaiona?1. Manzese enzi hizo ikijulikana kama mji wa Soweto, tabia zote za kishenzi za wizi, uporaji na umalaya katika maeneo ya uwanja wa fisi, rambo bar n.k.
2. Tandale iliogopeka kwa tabia za ukabaji, uporaji lakini pia ushenzi.
3. Mwananyamala kisiwani kwa kopa.
4. Mburahati madoto hadi festini.
5. Keko magurumbasi mpaka Mwanga.
6. Kigogo.
7. Tandika.
8. Temeke Mikoroshini.
9.kariakoo mchikichini hadi jagwani
10.magomeni mapipa hadi mwembechai
Duu hayo maeneo nayasomaHyo manzese na tandale washenzi mpka kesho mwakajana kwenye ile njia ya kutoka manzese darajani kuelekea sweet corner walinibananisha pale vijana kama 30 wakiwa na visu, chupa na marungu wakaniweka mtu kati bingiri bangala wakanisukumiza mtaloni pale kwenye karib na msikiti wapuuzi wakanifokoa kiswaswadu changu nikawakomalia wakanipa lain tu ilikuwa mida ya saa4uck alaf watu wanacheza bao kama hamna kinachotokea pumbav...
Mashenzini huko hata bia yako bar unaporwa. Wacha niendelee kukaa hukuhuku, nikijisikia ku socialize, naenda kwa Sinde nakutana na GENTAMYCINE , nacheka weee narudi home, nalala.na amani zangu1. Manzese enzi hizo ikijulikana kama mji wa Soweto, tabia zote za kishenzi za wizi, uporaji na umalaya katika maeneo ya uwanja wa fisi, rambo bar n.k.
2. Tandale iliogopeka kwa tabia za ukabaji, uporaji lakini pia ushenzi.
3. Mwananyamala kisiwani kwa kopa.
4. Mburahati madoto hadi festini.
5. Keko magurumbasi mpaka Mwanga.
6. Kigogo.
7. Tandika.
8. Temeke Mikoroshini.
9.kariakoo mchikichini hadi jagwani
10.magomeni mapipa hadi mwembechai
Hiyo ndo Daslama.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hyo manzese na tandale washenzi mpka kesho mwakajana kwenye ile njia ya kutoka manzese darajani kuelekea sweet corner walinibananisha pale vijana kama 30 wakiwa na visu, chupa na marungu wakaniweka mtu kati bingiri bangala wakanisukumiza mtaloni pale kwenye karib na msikiti wapuuzi wakanifokoa kiswaswadu changu nikawakomalia wakanipa lain tu ilikuwa mida ya saa4uck alaf watu wanacheza bao kama hamna kinachotokea pumbav...