Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msako wa Mr X
Umenikumbusha riwaya yangu ya kwanza kuisoma, MALAIKA WA SHETANI hii ni riwaya iliyosababisha niwe mlevi wa riwaya mpaka kesho. Japo tunakosa waandishi mahiri kama akina BEN MTOBWA.Yule ni mtunzi au ni mkusanyaji wa makala mbalimbali na kuziweka ktk lugha ya kiswahili kwa mpangilio na mtiririko ulio tukuka?
Hapa tunazungumzia watunzi kasome kitabu cha ben r mtobwa
Kiitwacho malaika wa shetani au tutarudi na roho zetu afu ukasome stori za vipepeo weusi uone utofauti.
Ww Ni Nifa?Mna wivuu wakati bold hakuna anaemfikia hapa jf na nje ya jf
Vijana wa .com wenye ulemavu wa kufikiri watakuja kukupingaYule ni mtunzi au ni mkusanyaji wa makala mbalimbali na kuziweka ktk lugha ya kiswahili kwa mpangilio na mtiririko ulio tukuka?
Hapa tunazungumzia watunzi kasome kitabu cha ben r mtobwa
Kiitwacho malaika wa shetani au tutarudi na roho zetu afu ukasome stori za vipepeo weusi uone utofauti.
Akikujibu naomba unitagAisee.!!!
Amewahi kuandik kitabu gani nikakisome
Huyu hatupaswi kumtaja wala kumuweka hata kwenye 50 bora aiseee..... Labda kwenye bora 50 anaweza kuingiaKwa Shigongo umechemka!
Ohhooo......[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ww Ni Nifa?
Akikujibu naomba unitag
Na kwakua vijana wengi skuhizi hawapendi kusoma vitabu na makala ili kuongeza elimu na uwezo wa kujua na kupambanua mambo..... ndiomaana wanaishia kumuita Bold mtunziThe bold anajua kukusanya habari/taarifa/makala na kuziweka kwa mtiririko mzuri zikasomeka na kueleweka.
Kwenye utunzi kwa kweli simamisheni nishuke, sitaki chai.
...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!The bold anajua kukusanya habari/taarifa/makala na kuziweka kwa mtiririko mzuri zikasomeka na kueleweka.
Kwenye utunzi kwa kweli simamisheni nishuke, sitaki chai.
...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!Na kwakua vijana wengi skuhizi hawapendi kusoma vitabu na makala ili kuongeza elimu na uwezo wa kujua na kupambanua mambo..... ndiomaana wanaishia kumuita Bold mtunzi
Kabisa!Huyu hatupaswi kumtaja wala kumuweka hata kwenye 50 bora aiseee..... Labda kwenye bora 50 anaweza kuingia
Na kwakua vijana wengi skuhizi hawapendi kusoma vitabu na makala ili kuongeza elimu na uwezo wa kujua na kupambanua mambo..... ndiomaana wanaishia kumuita Bold mtunzi
...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!
Itafute uisome utamjua mtunzi [emoji124] [emoji124] [emoji124]...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!
ShukranYeye mwenyewe "the bold".
Ha ha ha mbingu na ardhi mkuuYule ni mtunzi au ni mkusanyaji wa makala mbalimbali na kuziweka ktk lugha ya kiswahili kwa mpangilio na mtiririko ulio tukuka?
Hapa tunazungumzia watunzi kasome kitabu cha ben r mtobwa
Kiitwacho malaika wa shetani au tutarudi na roho zetu afu ukasome stori za vipepeo weusi uone utofauti.