ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Umesema hapa JF, hapo umeshinda lkn siyo kwa Tanzania. Ila anajitahidi, aongeze bidiiMna wivuu wakati bold hakuna anaemfikia hapa jf na nje ya jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema hapa JF, hapo umeshinda lkn siyo kwa Tanzania. Ila anajitahidi, aongeze bidiiMna wivuu wakati bold hakuna anaemfikia hapa jf na nje ya jf
Ha ha ha atakuwa. Hivi wote wana ban? The Bold alikosea nini?Ww Ni Nifa?
The Bold. Sasa unaweza kuilinganisha na riwaya gani ya Elvis Musiba au Ben R. Mtobwa?...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!
KwaniniThe bold anajua kukusanya habari/taarifa/makala na kuziweka kwa mtiririko mzuri zikasomeka na kueleweka.
Kwenye utunzi kwa kweli simamisheni nishuke, sitaki chai.
Mark Steven Chenje balaaaMsako wa Mr X
Zubaa uzikwe
Hapo gazeti la bongo utalipenda kuna mark stiven pamoja na shukuru akiongozwa na mkubwa wa kazi zombi
M S Mohamed. Ni mtunzi pia wa 'Kiu'Yulenaliyetunga nyota ya rehema mbona hukumweka
Shigongo hata 100 bora haingiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Zombi alikuwa nuksi alichukua mali pamoja na mke wa chenje jamaa alikuwa dereva tu akataka kuleta u smart kwa watoto wa jiji. Mambo ya the bambush hayo.Mark Steven Chenje balaaa
...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!
Uko sahihi na kwangu mimi baada ya shaaban shafii anahusika hapo yule mzee dah mungu amjaze kheriAdam Shafi ( Vuta N'kuvute, Haini, Kuli, Mbali na nyumbani)
Sijawahi ona kitabu chako hata kimoja tofautisha utunzi mahiri na kutunga vitabu vya biashara kazi zitaishia kapuniUjue mie labda nina mtazamo tofauti
1) Asilimia kubwa ya watu wa mwambao wanajua kiswahili fasaha na hivyo kuwafanya wawe wa kipekee unaposoma kazi zao, tafuta waandishi hata wadogo tu ambao hawajukikani kabisa ila ni watu wa mwambao utabaini wanajua sana na si kwenye Hadithi tu bali hata nyimbo, sikiliza maneno ya taarabu na tunzi zao utabaini kujua kwao kiswahili fasaha kunawabeba sana tofauti na sisi wa maeneo mengine kama ya kwa kina mkuu wetu
2) Kuna vipaji vingi sana mitaani tena hata hawana shule kichwani wala utaalamu wa maneno ila ni wazuri sana wa kutunga Hadithi, kitu pekee ninachokifahamu kwa Shigongo hana kipaji kiiiiile cha kutishia amani ila amekua mjanja kuwatumia vipaji vya chini na kuwaweka katika himaya yake kama alivyo Diamond Platinumz hivyo kufanya watu wamuone mkali, mfano Shaluwa ni mkali tu ila yupo chini yake
3) Namba kumi hapo nipo mimi maana nikiangalia kazi nilizoandika na ambazo watu wamezisoma nimepata feedback nzuri sana kama Zafeera, Kitanzi cha upendo, Paka Mweusi, Mshumaa gizani, Monica, Daraja la Misukule, Binti wa ng'ambo na vinginevyo vingi tu vinanifanya niwe balaa katika utunzi wa Hadithi ila ndio hivyo "tatizo nyota"
Sent using Jamii Forums mobile app