Kumi bora ya waandishi mahiri wa hadithi za Kiswahili

Ni kazi sana kupata kazi zao online, nimejaribu bila mafanikio.

Kuna Mama mmoja mtanzania kitabu chake kimetafsiriwa kwenye lugha kadhaa ikiwemo Kifaransa ila sio rahisi kukipata hicho kitabu online

Vitabu common kabisa kama Mabala the farmer, Hawa the bus driver ni ndoto kuvikuta mtandaoni. Watunzi na publishers wao wajiongeze watumie technology kusambaza kazi zao na kujiongezea kipato.
 
Yulenaliyetunga nyota ya rehema mbona hukumweka

Shigongo hata 100 bora haingiii

Sent using Jamii Forums mobile app
M S Mohamed. Ni mtunzi pia wa 'Kiu'
Alafu huyo mwingine ananakili, kutafsiri na kubadilisha riwaya za waandishi wa Marekani. Moja ya vitabu vyake ni tafsri ya riwaya iitwayo 'The Other Side of Midnight' ya Sidney Sheldon. This guy is a literary hack.
 
Mwandishi wa kitabu cha KIVULI KINAISHI mpe nafas ilo bora
 
Shigongo kizazi kipya hatumii maneno magumu ya kiswahi
 
...Hivi ile sijui ni riwaya ya VIPEPEO WEUSI nani Alikua mtunzi?, Samahani lakini!

Sorry mkuu nilianza kusoma comment kabla ya kuangalia ID, nilitaka kukubishia ila baada ya kuona ID nimeelewa kwamba una haki ya kuwa name him mtazamo.
 
Imefika wakati Serikali ya Tanzania na wachapaji wa vitabu wawe wanatoa tuzo mbalimbali kwa waandishi wa vitabu vya riwaya, tamthiliya na ushairi.

Ni aibu kuendelea kuchukulia poa vipaji vya waandishi.
 
Ndugu umemsahau faki mwandishi wa vuta nikuvute na huyo shigongo mtoe hapo tafadhali
 
Sijawahi ona kitabu chako hata kimoja tofautisha utunzi mahiri na kutunga vitabu vya biashara kazi zitaishia kapuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…