Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakua na fundi wako unayemuamini anaitazama kwanza, akikwambia iko vizuri chukua, akikwambia mbovu achana nayo, magari siku hizi yako mengi sana mjini huwezi kosa la kukufaa, ni kama nguo za mtumba.Mkuu gari used kutoka kwa mbongo si utauziwa skrepa
Cha ajabu wabongo wapo kimyaaa!!! Kama una visa card kutoka nchi nyingine bank za bongo wanakukata kila unapotoa pesa 15,000 na nchi yako unakatwa ili usikatwe nenda KBC bank ya wakenya..kila kitu bongo kipo kukomoana tu..bora Zanziber Mungu ajaalie wajitenge kuepuka hii dhahama,na sisi Mafia tutajiunga Zanziber kina Mwigulu waingie na passport panda hawa.Hili suala la kukatwa salio kwa ajiri ya kuangalia salio huwa siliewagi kabisa
Bongo nyoso ndugu yangu hata uyo fundi wako anaweza kula njama na anaekuuzia gari inategemea tu na nani atamwekea dau kubwa mezaniUnakua na fundi wako unayemuamini anaitazama kwanza, akikwambia iko vizuri chukua, akikwambia mbovu achana nayo, magari siku hizi yako mengi sana mjini huwezi kosa la kukufaa, ni kama nguo za mtumba.
Hata hayo matako sio kila mwanamke anayo, kuna wanaume wamewazidi hao wanawake hayo matako.Ee ndo ukiona mtu ana gari unatakiwa umuheshimu
Sio matako kila mwanamke anayatingisha
Ni muhimu maana wabongo wanasumbua sana kuulizia salio,wanasababisha jam kwenye systemHili suala la kukatwa salio kwa ajiri ya kuangalia salio huwa siliewagi kabisa
Kwanini kila mara uchungulie salio.Ameongea maneno ya msingi wewe unafanya utani,hebu jaribu kufikiri tu kidodo Zambia hawana bandari na ushuru ni mdogo mno kuliko sisi kwanini tz imekaa kukomoana sana? na kufanya maisha yawe magumu kwa watu wake?? Hii leo ukiwa na Account crdb na kwengine kuangalia salio kwenye Internet banking unakatwa na mijitu ipo kimya hii ni nini??
Unaweza ukaagiza gari na likawa kimeo vile vile… labda ujaribu showroom ambapo unaweza rudsha gari litapo kusumbua. All in all ukiwa na fund mzuri atakushauri vzurWabongo hatuaminiki kuliko kuingia iyo risk bora ukubali tu kuagiza kwa gharama kubwa.
Inchi inaongozwa wa watu wenye roho mbaya, warafi na wasio na huruma kwa wananchi wao… ss wenye bahari/bandari ndo tunakod kubwa kuliko nchi zisinzo na hivyo vitu… acha tuendelee kuendesha ma Carina TINchi ya hovyo,watu wa hovyo na hatujielewi ww watu watengeze gari kwa bei rahisi ili watu waweze kupata huduma ya usafiri.Unakuja kukutana na kodi kubwa kuliko bei ya gari unajiuliza hupati jibu na wala watu hatujali wala kulalamika