Rudi chuo kasome uwe daktari (MD).Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.
Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
Unaweza pendekeza CO alipwe pesa ngapi? Pia hatulipwi kutokana na ada tulizolipa chuo ,ndo maana unaweza kuta kijana kasoma account yupo TRA mshahara wake mkubwa kuliko wa CO aliyelipa ada unayoita nyingi .Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.
Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
Rudi chuo kasome uwe daktari (MD).
Angalau laki 8 maana kazi wanazozifanya ni kubwa mnoUnaweza pendekeza CO alipwe pesa ngapi? Pia hatulipwi kutokana na ada tulizolipa chuo ,ndo maana unaweza kuta kijana kasoma account yupo TRA mshahara wake mkubwa kuliko wa CO aliyelipa ada unayoita nyingi .
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Laki 6 ya CO na hiyo milioni moja ya MD ni ipi kubwa?Kwani kuna fofauti ndugu? MD ni 1,000,000/=. Hawezi hata kupanga Sinza.
Mie nakubaliana na ww asilimia mia, ila ukiangalia kwa undani mishahara inapangwa kulingana na level ya elimu cha muhimu Fanya kazi kwa mda kasome MD ulipwe hiyo 1.5 MAngalau laki 8 maana kazi wanazozifanya ni kubwa mno
Mi nishachoka bwana
Kubwa laki sita ya COLaki 6 ya CO na hiyo milioni moja ya MD ni ipi kubwa?
Maana hoja ya jamaa ni kuongeza salari.
Hao hao form 4 failures waliopata div.3 na 4 ndio unataka walipwe zaidi?Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.
CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.
Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
we jamaa bana, so ukilipwa hii hutalalamika ? maana navyojua 'mshahara' hua hautoshiAngalau laki 8
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi kila mtu analalamika.
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari ,huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM,hkl,hge eca nk.
CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.
Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.