Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
unapenda ushoga au kwavile baba ako alibakwaNimezaliwa 1998 mama yangu ..
Umejuaje kwani ushawah kuwa shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unapenda ushoga au kwavile baba ako alibakwaNimezaliwa 1998 mama yangu ..
Umejuaje kwani ushawah kuwa shoga
Kumbe CO ana salary ndogo hivyo laaa pole yaoClinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari, huyu alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia asilimia kubwa ya Clinical Officers wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk.
Hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.
Serikali wajitahidi kumuongezea Hela Clinical Officer angalau laki 8 kwa mwezi.
Yaani ukikutana nao wanajitambulisha kwa Dr la kumbe wanakula mia sitaHalafu ma clinical officer wote wanajonaga MD
Mama sasa unasema uongo Mbona baba hajawahi sema kama alibakwa anasema angejua tabia zako asingekuoa maana ulikuwa unamtegeshea topeunapenda ushoga au kwavile baba ako alibakwa
The bad news n kwamba wakat kijana anaenda kusoma anakua hana taarifa za huko nje mambo yalivo. Yy anachojua Ni kusoma koz zenye title kama vile injinia daktar etc asijue kuna koz za michongo watu wanavuta kibunda kirefu mwisho mwa mwez. Just assume mtu hana taarifa co wanalipwa sh ngap,, au system admin wanalipwa sh ngap,,,,au HR wanalipwa sh ngap ye anajua tu nkisoma PCM ntakuwa injinia then ntakua na maisha mazur[emoji23][emoji28] si mlipenda kusoma masomo magumu ili muonekane mna akili...
Kuna watu wamesoma course za utopolo tena level ya diploma tu ila kwa mwezi wanavuta take home 1.2 Million bado hajapata posho zisizokua na kichwa wala miguu... Vijana mnaposoma anagalieni na future... Otherwise enjoy your problems
Rudi chuo kasome uwe daktari (MD).
Sasa mtu una dddd unataka ulipwe kiasi gani?Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari, huyu alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia asilimia kubwa ya Clinical Officers wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk.
Hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.
Serikali wajitahidi kumuongezea Hela Clinical Officer angalau laki 8 kwa mwezi.
🤣🤣😅😅😆😁😄😃 Nchi HiiSasa mtu una dddd unataka ulipwe kiasi gani?