Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Umepewa likes nyingi but wewe ni pimbi sana. Madaktari, CO na wahudumu wengine wa afya na mahospitalini ni muhimu mnoo kwa sababu iwe umeajiriwa au kujiajiri sote hapa hatuwezi kukwepa mahospitalini. Imagine mbunge analipwa milioni 11 (mishahara na ma posho mbalimbali) kwa nini maslahi ya hawa wenzetu yasiboreshwe ili wafanye kazi na kutuhudumia vizuri?
ufinyu wa kifikra pia ni mzigo.

"Hakuna mtu yeyote aliyelipwa pesa akaridhika mkuu". Kilichopo ni kuridhika na kilekile unachokipokea. Ikumbukwe pia kuna madaraja, so kama mtu anahisi hatosheki na mshahara anaolipwa, afanye alternatives apande daraja.

Nimemjibu vile kwa sababu anasahau kuwa kuna wataalam wengi sana wa afya mitaani ambao wanatamani kufanya kazi hata kwa pesa ndogo kuliko hio anayoona kwake haitoshi.

Kingineeeee, akihisi anafanya kazi kubwa saaaaana ambayo hailingani na mshahara, ni bora aache hio kazi.... Cjui upimbi wangu hapo uko wapi[emoji16][emoji16].


Hauwez kufanya kazi yenye thamani ya 100 ukalipwa 15 af uendelee nayo. Aje mtaani afanye kazi ya 10 imlipe 9.9.
 
Mkuu hawa watu hawajui thamani ya proffesion za watu.......kuwa na proffesion fulani sio passion tu...ni lazima uweze kutengeneza maisha out of that


Sasa laki 6 ukipanga nyumba ya laki 3 unakula nini sasa hapo
Thamani ya proffesion za watu[emoji23][emoji23]... Ndo hio laki 6 thamani ya CO inayotambulika serikalini.
Unataka thamani gan tena??
 
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari, huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk.

CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
Mwanaume unasubr laki 6 siku 30? Ukitaka kuinjoy hii dunia angalau KWA siku uskose laki net profit
 
Hii nchi ilipofikia kila mtu analamika bila sababu ya msingi



Tuchape kazi
 
Kwa akili yako unadhani wanaishi kwa mshahara tu..kila mtu hulia mezani pake..ofsini kuna mengi watu wanapata hela nyingi hata zaidi ya huo mshahara hapo hapo ofsini alipo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rushwa za kulazimisha na unya'nganyi tu na mtu akiamua kumkanyagia lazma alielie
 
Uliwahi ona wapi anayefanya kazi ngumu ndio analipwa zaidi? Hata porters wanapiga sana kazi, ila hawalipwi kikubwa. Dunia hii unapotumia nguvu nyingi kufanya kazi na malipo yako yanakuwa madogo zaidi. Endelea kufanya kazi kwa nguvu kubwa, ndio level yako ya elimu inakuhitaji hivyo.
Sawa, lakin usinidharau sasa. Bila mim ninayefanya kaz kubwa na nyingi kutokana na level yangu ndogo ya Elimu, wew Unafany kaz ndogo na chache kwasababu una level kubwa ya Elimu ungetakiwa ufanye na hizi kazi ndogo ndogo tunayefanya sisj wenye level ndogo ya Elimu. Wew ni mkubwa sababu mim mdogo nipo mkuu.
 
Mimi niseme tu mshahara hata siku moja hautoshi ,ilaa kwa nature ya kazi za serikali zilivyo watumishi tunaweza kuwa matajiri sanaa semaa akili huwa inalala tu tukishazipata hizi kazi .

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hizi mada huwa zinawapa ujinga mwingi wanafunzi na wanachuo. Dawa ya tatizo hilo ni ndogo sana, ni kufungua hospitali, unaajiri hao Clinical officers unawalipa 3m each per month.

Hela za kulipa zikiwa za mawazo hata hiyo laki 6 nyingi sana
 
Mkuu hawa watu hawajui thamani ya proffesion za watu.......kuwa na proffesion fulani sio passion tu...ni lazima uweze kutengeneza maisha out of that


Sasa laki 6 ukipanga nyumba ya laki 3 unakula nini sasa hapo
Unalipwa laki sita unapanga nyumba laki tatu, huo ni ufala kiwango cha SGR..mathematically unatakiwa u-spend not more than 10%-15% ya income yako kwenye house rent ili uweze kusogea, unalipwa laki 6 tafuta chumba cha 50 mpaka 80 huko nje ya mji ambapo hutatumia zaidi ya gari 2 huku ukipambana kuongeza kipato, otherwise utakimbia kimbia sana lakini huta step up miaka na miaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari, huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk.

CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.

Unaposema "Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk." unamaanisha nini? Kwani ada ya Form5/6 kwa shule za Serikali za Boarding si ni elfu 70 kwa michepuo yote au? Kuna kitu nime-miss?
 
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa CO laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari, huyu Co alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya CO's wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk.

CO hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela CO angalau laki 8 kwa mwezi.
Hahaa nenda Cuba uone CO na MD hawakuti mshahara wa mgambo wa jiji achilia mbali polisi. Ili hali polisi ni fresh from school, maisha hayana formula
 
Sema kiukweli kazi zingine ni sifa tu za majina yaani ukiitwa Daktari ni ufahari sana. The way watu wanaisimulia basic salary ya 1.48M is like ndo unaikuta ATM.

Ni vile wengine tulisoma tu sababu ya kutimiza ndoto za watu ila ingewezekana kurudi nyuma tusingekuja huku. Panga la makato likishuka hapo hela unayotoka nayo haina uzito kabisa ila hakuna namna.
kwa sababu wengine furaha zetu huja pale ukiwa njiani au sokoni mgonjwa au ndugu wa mgonjwa akikusalimia kwa bashasha na kukwambia ulinihudumia vizuri basi tunampa Mungu sifa zake nasi tunajihisi tumefanya ibada.
 
Runinga zimewapumbaza vijana siku hz pia runinga ndo chanzo cha matatizo ya kiakili kwa vijana wengi maana wanatamani kuyaishi maisha ya maigizo wanayoyaona kwenye runinga , tulodhike na kdg tunachopata maana tulichagua wnyw huku tulipo bila kufunya upembuz yakinifu mapema
 
Back
Top Bottom