Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Mbona darasa zima la watu zaidi ya 50 walikuwa wanajilaumu kwenda huko? Angalau sasa wanaanzia kamilioni na zaidi. Wakati sisi tunaanza ilikuwa laki 1!! Tukagoma, Waziri Mkuu Sumaye akasema tuache kazi twende popote kwenye mishahara mizuri. Na kweli mimi nikaondoka baada ya hayo maneno ya kifedhuli.
Wewe ni mtu wa kwanza nakusikia umesoma afya kwa bahati mbaya tu.
 
Mbona darasa zima la watu zaidi ya 50 walikuwa wanajilaumu kwenda huko? Angalau sasa wanaanzia kamilioni na zaidi. Wakati sisi tunaanza ilikuwa laki 1!! Tukagoma, Waziri Mkuu Sumaye akasema tuache kazi twende popote kwenye mishahara mizuri. Na kweli mimi nikaondoka baada ya hayo maneno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mkuu.
 
Hahahahahah we utakuwa unazungumzia wages mzee! Kuna wages na mshahara na hii tofauti yake ni kwenye ajira, kazi na kibarua!

Ukiona unalipwa not less than 50K per day jua upo kwenye ajira mzee. Hapa kuna ambao wanalipwa kati ya laki 1 mpaka laki 3 per day kwenye taasisi hizi hizi za serikali ama NGO za kimataifa. Huwezi sema ati mshahara hautoshi wakati account yako inaingiziwa 7.5M kila mwezi!

Less than 30K jua upo kwenye kazi. Hawa ni vibarua waliochangamshwa kidogo na overtimes.

Less than 20K jua unaenda kibaruani. Hawa ndio wanakula wages sema zimekuwa extended kwa mwezi tu.
Hahahajahah
 
Pesa nyingi unajitafutia!
Hakuna mwajiri (Serikali ama Mtu binafsi) Anaefanya biashara yake atakupa pesa ikutoshe!

Ukitaka kikubwa anzisha biashara uibembeleze ikue.

Serikali Siyo mzazi/ndugu yako, ni wafanya biashara so lazima wakunyonye!

Unajua kwa nini ‘shuguri’ zote za Serikali zinaendeshwa kijeshi?
Mwenye akili na aelewe
 
Nchi hii wajinga ni wengi. Yani ka mtu kana diploma kanakuja hapa kanajiona kana stahili zaidi kulko kada zingine.

Kwa nini ulifeli mdogo wangu? Kama kazi kubwa ndo kigezo basi tuanze kutoa mishahara mikubwa kwa wafanya usafi na walinzi.

Ntambafu ungesoma ukawa angalau hata na ka degree
Anajiona anafanya kazi kubwa peke yake kumbe kuna wenzake wametulia washausoma mchezo

Huyu atakuwa dogo wa ajira mpya tu
 
Wazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.

Kila Diagnosis ni UTI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawa watu bana.

Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage

Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,[emoji1787]

Halafu kinatokea ki-CO kimoja na shule yake ya Tandabui kinaona mshahara hautoshi[emoji1787]
Hahahahah
 
Kwahiyo msukumo wako wa kwanza kusoma afya ilikuwa mshahara?
Sio mshahara mkuu...hii wizara watu hawaoni thamani yake .......investment ya muda,pesa na resource nyingine ili uwe mhudumu wa afya tanzania hazilandani na utakachokipata.....
Passion halafu ukashindwa kumudu maisha ni uchawi tu......
 
Mpaka 2030 graduates watukawa wengi kiasi kwamba ajira zilizopo kwa sasa zisipo ongezeka mara 5 hazitawatosha hata kwa utoshelezezali wa sasa......
Endeleeni kumbeza Samia,anawatafutia fursa kwa private mnasema anazurura mara anauza nchi,,mtaongea lugha moja.
 
Binafsi huwa naona watu wanaostahili kulalamika ni Nurses.

Kazi nyingi na departments nyingi wao ndio wanafanya kazi.

Kazi zote za kujaza MTUHA, kufanya usafi ni wao.

Kazi mpaka Weekends, sikukuu na usiku wa maanane.

Kazi za Labour kila siku cases mpya tena siku hizi Primes kibao, nurses hawalali usiku. Na sasa hivi mama mjamziti akifia Labour sijui utatoa maelezo gani mpaka serikali ikuelewe.

Na baya zaidi Bachelor Nursing ni 4 good years lakini mshahara wao ni TGHS C ambayo ni sawa na watu wa Lab, EHS, na HSM ambao husoma Bachelor miaka 3.

Co kulipwa laki 6 unalialia ni upuuzi wakati hata kazi nyingi huna. Unajipa umuhimu usiokuwa nao.
Kunywa pepsi nakuja kulipa
 
Hakuna kitu kigumu kama CO kwenda MD. Ukipata ni bahati ya Mungu kakuangazia tu.

Na sasa hivi CO wamejaa mtaani kama nzige.Na wengine manalipwa mpaka Laki 2 kwa mwezi kwenye vijiwe.
Kweli kabisa mkuu, kuna kijiwe fulani huko kusini CO ni laki 2 per month
 
Sio mshahara mkuu...hii wizara watu hawaoni thamani yake .......investment ya muda,pesa na resource nyingine ili uwe mhudumu wa afya tanzania hazilandani na utakachokipata.....
Passion halafu ukashindwa kumudu maisha ni uchawi tu......
Kwahiyo unakubali kuwa passion ni kitu cha kwanza kabla ya vyote?
 
Back
Top Bottom