Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kwahiyo unakubali kuwa passion ni kitu cha kwanza kabla ya vyote?
Mimi nakubali.

Kuna dogo wangu nikimuuliza unapenda nini anasema anapenda sana kuwa daktari,anapenda vilw mtu kaja anamsikiliza anamuhoji na anamtibu.

Huyu dogo hajui mshahara wa daktari hata nini ila ukimuuliza anasema anapenda udaktari kwa sababu ametoka nao moyoni.

Ila ukipigika na mtaa ukaijua Jf utaona kama huna passion kwa sababu watu wanabeza sana mshahara humu hivyo mtu anafanya kazi atajidharau ila ukiingia mtaani sasa uone pesa ilivyo ngumu ndipo utagundua kwamba una neema kubwa sana.

Ila passion ndio kitu cha mwanzo kama tukitaka kufanikiwa.
 
Mimi nakubali.

Kuna dogo wangu nikimuuliza unapenda nini anasema anapenda sana kuwa daktari,anapenda vilw mtu kaja anamsikiliza anamuhoji na anamtibu.

Huyu dogo hajui mshahara wa daktari hata nini ila ukimuuliza anasema anapenda udaktari kwa sababu ametoka nao moyoni.

Ila ukipigika na mtaa ukaijua Jf utaona kama huna passion kwa sababu watu wanabeza sana mshahara humu hivyo mtu anafanya kazi atajidharau ila ukiingia mtaani sasa uone pesa ilivyo ngumu ndipo utagundua kwamba una neema kubwa sana.

Ila passion ndio kitu cha mwanzo kama tukitaka kufanikiwa.
Muache afate moyo wake, Hela zipo ukifanya ishu za uhakika na ku solve matatizo ya watu.
 
Hawa wadogo wanaosoma kwa kuvaa uniform, wakimaliza wanajimwambafai sana. Kama kweli mnapata laki 6, mmependelewa sana. Mlipaswa mlipwe kima cha chini.
 
Hawa wadogo wanaosoma kwa kuvaa uniform, wakimaliza wanajimwambafai sana. Kama kweli mnapata laki 6, mmependelewa sana. Mlipaswa mlipwe kima cha chini.
Acha dharau, tunapiga kazi sana katika kuimarisha afya za Watanzania
 
Mwalimu aliyekufundisha kusoma na kuandika yeye analipwa sh ngapi?
 
Acha mutu atoe mawazo yake hajaomba Hela kutoka mfukoni mwako Wewe fala.wengine mnaroho za kimaskini sana kwanini yeye apate,Kwani unafikiri MD hawalalamiki kwamba Hela haitoshi,unamawazo nyifu sana,
Mkuu mbona unaimba taarabu tena? usiwe kama mwanamke wa pemba! Tulia elewa mada then changia acha mihemko!

Jamaa kasema mshahara mdogo nikampa mbinu ya kuongeza mshahara ambayo ni kwenda kusoma MD! Akisha kuwa dokta maana yake salary itapanda kutoka laki6 mpaka 1.5mil!

Sasa hapo tatizo liko wapi?
 
Acha dharau, tunapiga kazi sana katika kuimarisha afya za Watanzania
Uliwahi ona wapi anayefanya kazi ngumu ndio analipwa zaidi? Hata porters wanapiga sana kazi, ila hawalipwi kikubwa. Dunia hii unapotumia nguvu nyingi kufanya kazi na malipo yako yanakuwa madogo zaidi. Endelea kufanya kazi kwa nguvu kubwa, ndio level yako ya elimu inakuhitaji hivyo.
 
Jambo moja muhimu ambalo watu wengi hawaelewi ni kuwa at the end hutalipwa kingi kutokana na umuhimu wa field yako wala ugumu wa kazi yako bali utalipwa kulibgana na hali ya uchumi wa Nchi.

Sote mnafahamu 60% ya bajeti ya Nchi ni fedha za matumizi ya kawaida na katika hiyo asilimia kubwa inakwenda kwenye mishahara.

Kumbuka 90% ya Watumishi waote wa Serikaki wapo ama upo katika kadaa hizi Walimu,Majeshi,Afya.Ikisema u raise Mishahara katika kada hizi unadhani nini kitatokea??.Kama unafanya kazi katika kada hiyo ni ngumu sasa na almost impossible kuja kupewa mishahara tusema MD wote wapewe 2.5M haiwezekani.

Kwenye kada hiyo ambaye angalau kwa wingi wao wanapata salary nzuri kidogo ni Ma lecture Ambao wanapata 3.8M.

Ukiondoa Watumishi katika hizo kada nikizizitaja bado kuna Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za mitaa ambapo nao mishahara yao kwa ngazi ya kuanzia 700K-900K kutokana na kada,Watumishi pekee ambapo wanapata mishahara minono ni ambapo wapo kwenye baadhi ya taasisi ambazo zimewekwa katika category ya uzalishaji.
 
Sio mshahara mkuu...hii wizara watu hawaoni thamani yake .......investment ya muda,pesa na resource nyingine ili uwe mhudumu wa afya tanzania hazilandani na utakachokipata.....
Passion halafu ukashindwa kumudu maisha ni uchawi tu......
Kuna jamaa yetu mmoja alienda Algeria kupiga MD, MD miaka 5, mwaka 1 lugha, aliporudi hapa internship mwaka 1. Jumla 7. Sasa amemaliza anatafuta ajira. Tuliomaliza nae tukasoma fani za wild life, na fani nyingine za science tupo kazini kwenye taasisi salary kubwa kuliko MD
 
Ukiona inakubana acha kazi mkuu. Very simple. Uje mtaani uumize kichwa ili upate 5000 per day
Umepewa likes nyingi but wewe ni pimbi sana. Madaktari, CO na wahudumu wengine wa afya na mahospitalini ni muhimu mnoo kwa sababu iwe umeajiriwa au kujiajiri sote hapa hatuwezi kukwepa mahospitalini. Imagine mbunge analipwa milioni 11 (mishahara na ma posho mbalimbali) kwa nini maslahi ya hawa wenzetu yasiboreshwe ili wafanye kazi na kutuhudumia vizuri?
 
Hiyo 600,000 ni basic salary au ndio take home?
 
Demand inasemaje ?, Mengine ni mbwembwe tu....,
 
Umepewa likes nyingi but wewe ni pimbi sana. Madaktari, CO na wahudumu wengine wa afya na mahospitalini ni muhimu mnoo kwa sababu iwe umeajiriwa au kujiajiri sote hapa hatuwezi kukwepa mahospitalini. Imagine mbunge analipwa milioni 11 (mishahara na ma posho mbalimbali) kwa nini maslahi ya hawa wenzetu yasiboreshwe ili wafanye kazi na kutuhudumia vizuri?
Idadi ya wabunge ni mamia tu ukilinganisha na utitiri wa idadi ya wahudumu wa afya sasa ukusema uwaongezee hawa bajeti itakuwa kubwa mno kwahiyo waendelee kujituma baadae wanaweza kupewa nyongeza japo ya 6,500 Tsh.
 
Umepewa likes nyingi but wewe ni pimbi sana. Madaktari, CO na wahudumu wengine wa afya na mahospitalini ni muhimu mnoo kwa sababu iwe umeajiriwa au kujiajiri sote hapa hatuwezi kukwepa mahospitalini. Imagine mbunge analipwa milioni 11 (mishahara na ma posho mbalimbali) kwa nini maslahi ya hawa wenzetu yasiboreshwe ili wafanye kazi na kutuhudumia vizuri?
Mkuu hawa watu hawajui thamani ya proffesion za watu.......kuwa na proffesion fulani sio passion tu...ni lazima uweze kutengeneza maisha out of that


Sasa laki 6 ukipanga nyumba ya laki 3 unakula nini sasa hapo
 
Mimi nakubali.

Kuna dogo wangu nikimuuliza unapenda nini anasema anapenda sana kuwa daktari,anapenda vilw mtu kaja anamsikiliza anamuhoji na anamtibu.

Huyu dogo hajui mshahara wa daktari hata nini ila ukimuuliza anasema anapenda udaktari kwa sababu ametoka nao moyoni.

Ila ukipigika na mtaa ukaijua Jf utaona kama huna passion kwa sababu watu wanabeza sana mshahara humu hivyo mtu anafanya kazi atajidharau ila ukiingia mtaani sasa uone pesa ilivyo ngumu ndipo utagundua kwamba una neema kubwa sana.

Ila passion ndio kitu cha mwanzo kama tukitaka kufanikiwa.
Inawezekana kweli

Mfano mimi nafanya nisiyo na Passion nayo but kwakuwa inanipa fursa za kusonga mbele nipo tu nayo wakati huo nafanya michakato ya uwekezaji ili siku za usoni niachane nayo

Kufanya kitu usichokipenda ni sawa na kujiweka gerezani mwenyewe .

Na ndio maisha yalivyo
 
Jambo moja muhimu ambalo watu wengi hawaelewi ni kuwa at the end hutalipwa kingi kutokana na umuhimu wa field yako wala ugumu wa kazi yako bali utalipwa kulibgana na hali ya uchumi wa Nchi.

Sote mnafahamu 60% ya bajeti ya Nchi ni fedha za matumizi ya kawaida na katika hiyo asilimia kubwa inakwenda kwenye mishahara.

Kumbuka 90% ya Watumishi waote wa Serikaki wapo ama upo katika kadaa hizi Walimu,Majeshi,Afya.Ikisema u raise Mishahara katika kada hizi unadhani nini kitatokea??.Kama unafanya kazi katika kada hiyo ni ngumu sasa na almost impossible kuja kupewa mishahara tusema MD wote wapewe 2.5M haiwezekani.

Kwenye kada hiyo ambaye angalau kwa wingi wao wanapata salary nzuri kidogo ni Ma lecture Ambao wanapata 3.8M.

Ukiondoa Watumishi katika hizo kada nikizizitaja bado kuna Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za mitaa ambapo nao mishahara yao kwa ngazi ya kuanzia 700K-900K kutokana na kada,Watumishi pekee ambapo wanapata mishahara minono ni ambapo wapo kwenye baadhi ya taasisi ambazo zimewekwa katika category ya uzalishaji.
Afisa biashara Ilala degree mshahara laki 7.1, mapato ya Ilala ni zaidi ya bilioni 60.

Afisa biashara TTCL degree mshahara milioni 1.5, shirika haliingizi kitu zaidi ya hasara tu na madeni.

Kwanini haya mashirika mshahara mkubwa hata kama hawazalishi kitu?
Upendeleo mkubwa kwenye kupanga mishahara
 
Umepewa likes nyingi but wewe ni pimbi sana. Madaktari, CO na wahudumu wengine wa afya na mahospitalini ni muhimu mnoo kwa sababu iwe umeajiriwa au kujiajiri sote hapa hatuwezi kukwepa mahospitalini. Imagine mbunge analipwa milioni 11 (mishahara na ma posho mbalimbali) kwa nini maslahi ya hawa wenzetu yasiboreshwe ili wafanye kazi na kutuhudumia vizuri?
Ubunge siyo kazi ya kitaaluma. Linganisha taaluma siyo nafasi za uwakilishi au nafasi kwenye vyama vya siasa.

Kwanza mshahara wa mbunge kwenye Payslip ni Milioni 3.8.
 
Back
Top Bottom