Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

we jamaa bana, so ukilipwa hii hutalalamika ? maana navyojua 'mshahara' hua hautoshi
utalipwa iyo baada ya 'mda' utakujalalamika ulipwe 'walau' laki 10
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
😂😅 si mlipenda kusoma masomo magumu ili muonekane mna akili...
Kuna watu wamesoma course za utopolo tena level ya diploma tu ila kwa mwezi wanavuta take home 1.2 Million bado hajapata posho zisizokua na kichwa wala miguu... Vijana mnaposoma anagalieni na future... Otherwise enjoy your problems
 
[emoji23][emoji28] si mlipenda kusoma masomo magumu ili muonekane mna akili...
Kuna watu wamesoma course za utopolo tena level ya diploma tu ila kwa mwezi wanavuta take home 1.2 Million bado hajapata posho zisizokua na kichwa wala miguu... Vijana mnaposoma anagalieni na future... Otherwise enjoy your problems

Mkuu Upo Sawa kiakili au
 
Mkuu Upo Sawa kiakili au
Binti yangu mzuri, wewe inaonekana una shida ya akili, pole na mshahara wako wa utopolo... Umesoma chuo hadi unamaliza umetumia zaid ya million 10 😂 halafu unakuja kuajiriwa mshahara laki 6.
Wakat wenzako waliosoma kwa malengo wanalipwa monthly salary zaid ya Million
 
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.

Tukianza na sekondari, huyu alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.

Pia asilimia kubwa ya Clinical Officers wa sasa walipita ngazi ya advance na walilipa ada kubwa mno tofauti na michepuo mingine mf PCM, HKL, HGE, ECA nk.

Hata Kwenda field tu analipia wakati fani zingine field hulipii Bali wewe ndiye unalipwa.

Serikali wajitahidi kumuongezea Hela Clinical Officer angalau laki 8 kwa mwezi.
Wewe shukuru umepata ajira
 
Hakuna kitu kigumu kama CO kwenda MD. Ukipata ni bahati ya Mungu kakuangazia tu.

Na sasa hivi CO wamejaa mtaani kama nzige.Na wengine manalipwa mpaka Laki 2 kwa mwezi kwenye vijiwe.
Hata hii 200k ukiipata shukuru Mungu.

Watu wanajitolea miezi kwenye vijiwe ili apate kazi ya kulipwa laki 2.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe shukuru umepata ajira
Kupata ajira ni suala moja, na haki za aliyepata ajira ni suala jingine. Hatuwezi kusema aliyepata ajira asipewe haki anasostahili eti kisa Kuna ambao hawana ajira . No! huo ni wendawazimu.! Tusilinganishe mambo haya. Mwenye ajira astahili ujira sahihi kwa kazi yake , na asiye na ajira anastahili ajira sahihi kwa utaalamu wake.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji28] si mlipenda kusoma masomo magumu ili muonekane mna akili...
Kuna watu wamesoma course za utopolo tena level ya diploma tu ila kwa mwezi wanavuta take home 1.2 Million bado hajapata posho zisizokua na kichwa wala miguu... Vijana mnaposoma anagalieni na future... Otherwise enjoy your problems
Course gani hii?
 
Nipe majina yako matatu na check namba nikuzuilie huo mshahara ukatafute kazi sehem nyingine
 
Binti yangu mzuri, wewe inaonekana una shida ya akili, pole na mshahara wako wa utopolo... Umesoma chuo hadi unamaliza umetumia zaid ya million 10 [emoji23] halafu unakuja kuajiriwa mshahara laki 6.
Wakat wenzako waliosoma kwa malengo wanalipwa monthly salary zaid ya Million

Sasa ubaya Upo wapi?
 
Kuvuta Oxygen bure ni Haki ?

Au mkulima anachopata kwa mazao yake ni Haki ?, Haki ni nini ?

Ukiangalia Haki ni kwa mujibu wa sheria mlizojipangia kama jamii sasa kama imepangwa hivyo basi ni sawa, Ila ukiangalia sana hata mimi Kodi ninayolipa na ninachopata kutoka kwa wanaokula hizo Kodi sio Haki....
 
😂😅 si mlipenda kusoma masomo magumu ili muonekane mna akili...
Kuna watu wamesoma course za utopolo tena level ya diploma tu ila kwa mwezi wanavuta take home 1.2 Million bado hajapata posho zisizokua na kichwa wala miguu... Vijana mnaposoma anagalieni na future... Otherwise enjoy your problems
- aisee Mkuu Kuna dogo mmoja ana Diploma ya Accounts Yuko shirika fulani la umma anakula 1.8M, wakati BVM,MD wanakula 1.4M
 
Vijana maisha magumu jaribuni kufikiri zaidi ya mshahara. tumieni muda mwingi kujifunza kwa kufanya kazi kwa uaminifu kisha utajua jinsi ya kuongeza kipato.
 
Back
Top Bottom