Kumng'ang'ania Manji kila anapotaka Kujiuzulu / Kuachana na Yanga ni udhaifu au dhiki za Wanayanga?

Kumng'ang'ania Manji kila anapotaka Kujiuzulu / Kuachana na Yanga ni udhaifu au dhiki za Wanayanga?

Rufaa imeishia wapi mwagito? Naona ya ndani mwako yamekushinda sasa umehamia kwa mabingwa...mchecheto huo!

Viongozi wetu wameshatufanya sisi Malofa sasa subiria Kesho tusichukuwe Ubingwa wa ASFC ( FA ) ndipo watatutambua.
 
Viongozi wetu wameshatufanya sisi Malofa sasa subiria Kesho tusichukuwe Ubingwa wa ASFC ( FA ) ndipo watatutambua.
Mpaka siku ifikie hizi timu za bongo ziwe kampuni ndio tutaona soka lenye malengo. Sasa hivi klabu zinaendeshwa na wafia tumbo. Subiri msimu ujao uone mauzauza Jangwani, maana mwenye kauli katoka.
 
Mpaka siku ifikie hizi timu za bongo ziwe kampuni ndio tutaona soka lenye malengo. Sasa hivi klabu zinaendeshwa na wafia tumbo. Subiri msimu ujao uone mauzauza Jangwani, maana mwenye kauli katoka.

Mkuu subiri leo tufungwe huko Dodoma tukose tena tiketi ya kushiriki michuano ya Kimataifa uone kipi tutawafanya Wachezaji pale Uwanjani hadi na Viongozi wa Simba SC. Salama yao ni kuibuka tu na ushindi dhidi ya Mbao FC na zaidi ya hapo leo Police na FFU watatusamehe kwani tutatembeza Kichapo cha kufa Mtu ambacho hakijawahi kutokea nchini Tanzania pengine hata baada ya Vita dhidi ya Nduli Idi Amin Dada.

Wanasimba tumechoka sasa kutukanwa na kutiwa vidole vya machoni na Yanga FC kila uchao kwa upumbavu tu wa Michezaji yetu baadhi na Viongozi wetu. Katika siku ambayo wanasimba wote tuko katika Ubora wetu wa hasira na machungu ni leo na hizi hasira zitakwisha tu pale ambapo Mnyama Mnyamani ( Simba SC ) atabeba ndoo vinginevyo Wallahi leo tunakinukisha kote kote Msimbazi Klabuni na kule kule Jamhuri Mkoani Dodoma.

Enough is enough!
 
Manji has been Mezani FC worst nightmare.
They will love to see him leaving Yanga.

Unfortunately for them, Manji might go and Matopeni FC will only dream of winning the VPL
 
Kila nikisikia Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji akisema anajiuzuru Yanga huwa nawashangaa mno Wana Yanga wanavyoanza kupepesuka huku wakitaka kumlamba hadi Miguu na kumnyenyekea.

Sidhani kama hasa kwa Wanaume waliokamilika kabisa ( namaanisha rijali ) kila mara kumbembeleza Mwanaume mmoja tu ambaye ni Tajiri ili abakie au awe nao ni jambo jema na kwa sisi Wakazi wa Pwani Kitendo hiki cha Wana Yanga wanachokifanya kwa Manji kinaleta taswira mbaya mno ambayo siyo ya Kiume.

Hapa ndipo ninapoikumbuka Kauli ya Manji ambayo aliitoa katika moja ya Mikutano yake na Yanga pale Police Officers Mess aliposema namnukuu " Jamani wana Yanga wenzangu hebu tujipangeni kwa maslahi mapana ya Yanga kwani leo Mimi Yusuph naweza kuwepo na Kesho nisiwepo hivyo msiishi kwa kumtegemea tu Mtu mmoja bali tujitahidi ili Yanga yetu iweze kuwa na Wadhamini wengi na vyanzo vya kutosha vya mapato " mwisho wa Kumnukuu.

Mtu hawataki nyie mnamng'ang'ania wa nini? Hizi njaa za dhiki zitawapelekeni wapi? Hivi Yanga haiwezi kuendelea bila uwepo wa Manji? Bado nasisitiza kusema kuwa kwa Watu wa Pwani ni jambo baya mno ukiona Wanaume wanaojielewa kabisa huku wakijinadi wao ni Vidume / Rijali wakiwa wanajikomba na kujipendekeza kwa Mwanaume Rijali Mkuu mmoja.

Mmeiabisha mno Klabu ya Yanga!
Ngozi nyeusi hatuwezi kutawala,aliyeweza ni Kimei tuu wa CRDB.Subiri ataingia mmatumbi mwenzetu utasikia migogoro kila kukicha
 
Back
Top Bottom