Kumnunulia mwanamke vocha na asikutafute inakera sana

Kumnunulia mwanamke vocha na asikutafute inakera sana

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,025
Reaction score
4,276
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....

Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..

Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...

Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.

Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata

Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..

Sasa msiseme hamkuambiwa
 
Acha kumshwawishi mwanamke akukubalie au kukupenda Kwa kutumia Pesa yako.

Acha kutuma Vocha, acha Kila kitu.

Ngono ni starehe ya Kila mtu, awe Ke au Me.

Pesa Mpe mwanamke ambaye ni Mpenzi wako , au ambaye ni Mshikaji wako a.k.a Mwana..

Ila Hawa wa wakukuweka njia panda, hujijui ni Mpenzi au Rafiki au Kaka au Mpenzi mtazamaji, ...ni MATAPELI TU KAMA MATAPELI WENGINE.
 
Unadate vipi na mwanamke ambae ili akutafute ni mpaka umnunulie vocha?

Na kwanini ukereke asipokutafuta? Inaonekana hauma options nyingine zaidi yake, hiyo itakutesa.
 
Acha kumshwawishi mwanamke akukubalie au kukupenda Kwa kutumia Pesa yako.

Acha kutuma Vocha, acha Kila kitu...

Kitaalam ni wale sitaki nataka,basicaly wana play hard to get. Type hiyo ya mwanamke analupotezea muda. Mshakaji aacha kupoteza muda kwa kuamini pesa zitamshawishi huyo bidada
 
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....

Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..

Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...

Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.

Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata

Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..

Sasa msiseme hamkuambiwa
Mimi huwa namtumia pesa na yeye ndiye anayepaswa kunipigia simu
 
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....

Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema....
Tatizo mna date na mademu cheap sana, mademu wasiojielewa.

Yani unadate na mtu ambaye hata elfu 2 ya vocha inamshinda na wewe unahesabia kabisa una demu na unaweza ukamtambulisha mbele za watu?

Ushauri: achana kabisa na wanawake wa hivyo waliojaa dhiki ,utaenda naye sehemu huyo atatia aibu muaibike wote.
 
Back
Top Bottom