Kumnunulia mwanamke vocha na asikutafute inakera sana

Kumnunulia mwanamke vocha na asikutafute inakera sana

Wanawake waache waishi watakavyo ukishindwa achana nao maana hawaelekagi.

##JUST EAT AND RUN

## HIT AND RUN

## KATAA NDOA [emoji3544][emoji3544]

## NYWA
 
Tatizo mna date na mademu cheap sana ,mademu wasiojielewa. Yani unadate na mtu ambaye hata elfu 2 ya vocha inamshinda na wewe unahesabia kabisa una demu na unaweza ukamtambulisha mbele za watu?
[emoji12][emoji12][emoji12] pisi kali inataka elfu 2 ya vocha
 
Wakati takwimu mbalimbali zikionyesha mimba shuleni, vyuoni zikipungua, Mwananchi limebaini kuzuka kwa mbinu mpya haramu za utoaji mimba ambapo dawa zilizotengenezwa maalumu kutibu magonjwa ya aina fulani, ndizo zinazotumika kinyume kufanikisha vitendo hivyo.
 
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa sijui unalalamika nini, maana hamkuahidiana kuwa atakupigia simu wewe. Yaani unashindwa logic na mwanamke unaishia kutumia hisia, kilichokufanya utoe sikimbelembele chako huku ukijijua una fragile ego. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi
Unasubiria kuambiwa sio, huna intelligensia?. Kama kusoma huwezi picha za matukio afanyayo huzioni?. Utaendelea kulialia wee na vocha zako zishaliwa na wajanja. Wake up.
 
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....

Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..

Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...

Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.

Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata

Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..

Sasa msiseme hamkuambiwa
we ni mwanaume ni jukumu lako kumfurahisha na huhitaji kushangiliwa wala kupongezwa ...pili ndiyo akili zao wanajua uko na mindset isiyohiaji shukrani, kupewa pongezi na ndio maana siku yake ya birthday atataka zawadi ,womens day atataka umpost akifanya kitu chochote anataka umpngeze, umsupport..ila kwa mwanaume itafika siku ya kuzaliwa hata asikumbuke ,unaweza ukakaa naye miaka asikupe zawadi hata pipi lakini hutakiwi kuwa na gubu ...youre a fuckinhg'' Man '' unafanya wajibu wako kama inavotakiwa bila kujali appreciation... ndo kuishi nao kwa akili.
 
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....

Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..

Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...

Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.

Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata

Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..

Sasa msiseme hamkuambiwa
Kwani ni lazima mu "do" mkuu,si mchill tu,
Tenda wema uende zako,malipo kesho
 
Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....

Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..

Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...

Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.

Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata

Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..

Sasa msiseme hamkuambiwa
Tena mwingine anakuomba kabisa umrushie vocha unarusha halafu anaipata anapiga kimya hata text ya neno asante hakuna mpaka umtafute umuulize kama imefika au la[emoji23]
 
Back
Top Bottom