Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Ni mzazi mwenzangu tunalea tuDuhh! Unampenda? Samahani kwa maswali
Sawa.Ni mzazi mwenzangu tunalea tu
[emoji12][emoji12][emoji12] pisi kali inataka elfu 2 ya vochaTatizo mna date na mademu cheap sana ,mademu wasiojielewa. Yani unadate na mtu ambaye hata elfu 2 ya vocha inamshinda na wewe unahesabia kabisa una demu na unaweza ukamtambulisha mbele za watu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa sijui unalalamika nini, maana hamkuahidiana kuwa atakupigia simu wewe. Yaani unashindwa logic na mwanamke unaishia kutumia hisia, kilichokufanya utoe sikimbelembele chako huku ukijijua una fragile ego. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna...
Zama ardhini kama vpWanaume wa JF mmekubwa na nini[emoji38]
Kila kukicha ni kulalamika kuhusu wanawake
Khaaaaaa!
Unasubiria kuambiwa sio, huna intelligensia?. Kama kusoma huwezi picha za matukio afanyayo huzioni?. Utaendelea kulialia wee na vocha zako zishaliwa na wajanja. Wake up.Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi
we ni mwanaume ni jukumu lako kumfurahisha na huhitaji kushangiliwa wala kupongezwa ...pili ndiyo akili zao wanajua uko na mindset isiyohiaji shukrani, kupewa pongezi na ndio maana siku yake ya birthday atataka zawadi ,womens day atataka umpost akifanya kitu chochote anataka umpngeze, umsupport..ila kwa mwanaume itafika siku ya kuzaliwa hata asikumbuke ,unaweza ukakaa naye miaka asikupe zawadi hata pipi lakini hutakiwi kuwa na gubu ...youre a fuckinhg'' Man '' unafanya wajibu wako kama inavotakiwa bila kujali appreciation... ndo kuishi nao kwa akili.Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....
Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..
Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...
Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.
Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata
Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..
Sasa msiseme hamkuambiwa
Kwani ni lazima mu "do" mkuu,si mchill tu,Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....
Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..
Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...
Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.
Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata
Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..
Sasa msiseme hamkuambiwa
AahahahahahMwanamke akutafute sababu umemnunulia vocha ya 1000
Tena mwingine anakuomba kabisa umrushie vocha unarusha halafu anaipata anapiga kimya hata text ya neno asante hakuna mpaka umtafute umuulize kama imefika au la[emoji23]Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna....
Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema..
Yani ukiishishwa vocha ndio unakumbuka unae mwanaume unaanza kujibebisha bebisha na ukifanikiwa ungiwa bundle's yani unapotea hata kumjua ameshindaje au kama yupo hai hakuna labda akutafute tena yeye mwenyewe ...
Kiukweli tunajua hiyo ni dalili ya kutukataa na tena vocha tunazo waungia mnatumia kuwasiliana na wanaume wenzetu ila mtukumbuke na sisi tunao waungia hayo mabundle sio uishiwe bundle au uone muda wake umekaribia kuisha ndio mtukumbuke ili tuunge lingine.
Huo ujinga acheni, siku mkija kua masingle maza au mna zeekea nyumbani bila kuolewa msisahau hii ni laana yetu hakika itawapata
Ewe mwanamke kama huna mpango na mtu mwambie ukweli ukishindwa mwambie wewe ni rafiki tuu sio mpenzi ili anapotoa ajue anampa rafiki na sio mpenzi..
Sasa msiseme hamkuambiwa