Kumnyenyekea mwenza wako siyo ubwege ni chachandu ya ndoa

Kumnyenyekea mwenza wako siyo ubwege ni chachandu ya ndoa

Kabla sijakuwa vizur nilidhani kuwa mnyenyekevu na kubehave hivyo basi utapendwa na kuheshimiwa ila baada kupigwa sana na kuonewa kitu nilichokuja kukigundua kila mtu anaiona dunia katika mtazamo na tafsiri yake sio kila mtu anaheshimu unyenyekevu wa mtu yani kuna tabia ukizionesha kwa mtu A reaction zake na atavyokuchukulia tofauti na mtu B
 
Kabla sijakuwa vizur nilidhani kuwa mnyenyekevu na kubehave hivyo basi utapendwa na kuheshimiwa ila baada kupigwa sana na kuonewa kitu nilichokuja kukigundua kila mtu anaiona dunia katika mtazamo na tafsiri yake sio kila mtu anaheshimu unyenyekevu wa mtu yani kuna tabia ukizionesha kwa mtu A reaction zake na atavyokuchukulia tofauti na mtu B
Nikweli hili usemalo death strokes kitu cha msingi ni kuheshimiana kati ya wawili hao ndipo wataona mabadiliko na upendo utazidi na kuwa wenye furaha kila siku maishani mwao.
 
Mtoa mada hujawajua wanawake ww? Ukiwa romantic sana na caring sana unabadilishiwa jina kwamba ww ni bwege na upole umepitiliza mwanamke anaweza akuchokoze makisudi kabisa ili aone ukimfokea tu! Ukiwa mkali ndo hivi tena utaitwa simba mara paka kaingia basi panya tukimbie!
 
Back
Top Bottom