BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
To be in that kind of mood is something very special...congrats! 🙂🙂🙂
I'm in 😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm in 😀😀😀😀😀
Ma dr waga tunatoa ufafanuz mzur na istoshee skuiz wataft ni weng nakuombaa unipee Taft yako apo kunahusiano gan ya kunyonya matit na cancer???Mimi ni daktari na naisuport sana hyo kitu ndo maana tunaroa ushauri kwa mama kumnyonyesha mtoto wake kwa at least mwaka mmoja
Kama kuna swali nakaribisha
NA KAMA UNASEMA HAKUNA THESIS ZILIFANYIKA TUKAZISOMA NJOO NIIONYESHE USHAIDI WA KUPINGA KWAKO UKITUMIA HATA HYO MAANDIKO MATAKATIFU KWASABABU KOTE MIMI NIKO SAWA
Angalia post zangu zote nimeshatoa (posts ya nyuma kwenye hii thread)Ma dr waga tunatoa ufafanuz mzur na istoshee skuiz wataft ni weng nakuombaa unipee Taft yako apo kunahusiano gan ya kunyonya matit na cancer???
Ma dr waga tunatoa ufafanuz mzur na istoshee skuiz wataft ni weng nakuombaa unipee Taft yako apo kunahusiano gan ya kunyonya matit na cancer???
Mungu aliumba binadamu akamfanya kuwa kiumbo bora kuliko vyote pamoja..na kumuumba hvoo akampa pumzi ya uhai, mishipa ya damu maji yazungukayo mwilini kuweza kumsuport na kuregulate pia akaumba mifumo mbalimbali ili mwanadamu aweze kuongozwa nayo.MTU hujaelewa hapa..... Kitendo cha kukubali dhana kuwa ukiwa unanyonya maziwa ya mwanamke eti kuwa unampunguzia au unamuepusha Saratani basis huku ni kuabudu sanamu ni sawa na kuvunja amri ya kwanza kidini... Usiseme hujui iko HV sanamu sio lazima kitu kilichochingwa Bali hata kuhamisha imani yako kwa Mungu na kuiweka kwenye hali ambayo siyo ya kiMungu.
Kitendo cha kuamin na kufanya hv tayari unakiri ya kuwa hili jambo ni uokozi Wa mkeo hivyo unatoa imani yako kwa Mungu Wa kweli na kwa Kristo mponyaji unaipeleka kwa hisia za kiimani za kisayansi na hapa ni sawa na kumshusha thamani Mungu anayekurinda na kukutimizia shida zako ukimuomba. Ndio maana Mtumishi anasema kama ni mpnz tu kwa mkeo basis uwe na imani kwamba unafanya kama sehemu ya mpnz tu kwa mkeo lakin usiamini kuwa unafanya kwa ajiri ya matibabu. Naungana naye kwa Mimi na wewe tujiulize swali hili. Ikiwa kile kitendo ni kumfanya mwanamke asipate saratani basi ukiwa unamnyonya ujue wewe unayenyonya utakuwa unanyonya ugonywa kama sio ili isiwepo lazima kuwe na antitodi ya kuponesha kama ni mdomo tu je utawezaje kuleta uponyaji au uepushaji Wa saratani hiyo?
Poa poa mkuuAngalia post zangu zote nimeshatoa (posts ya nyuma kwenye hii thread)